>

YANGA YAKOMBA POINTI ZA RUVU SHOOTING

56 ni pointi ambazo wanazo kibindoni Yanga baada ya kupata ushindi kwenye mchezo wa leo dhidi ya Ruvu Shooting. Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 umesoma Yanga 1-0 Ruvu Shooting na kuwafanya wayeyushe pointi tatu mazima. Ni Mpoki Mwakinyuke ambaye ni nyota wa Ruvu Shooting alijifunga kwenye harakati za kuokoa hatari langoni mwake. Kipa…

Read More

KMC V NAMUNGO FC KESHO KINAWAKA

“TUNAHITAJI kushinda na sio matokeo mabaya kwenye mechi zetu ambazo tunacheza na kila kitu kinakwenda sawa,” ni Christina Mwagala, Ofisa Habari wa KMC. Timu hiyo inakibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Huo ni mzunguko wa pili ambapo kila timu inasaka ushindi kwa hali na mali kufikia…

Read More

RUVU SHOOTING WAIPAPASA MBELE YA WANANCHI

WANANCHI wanaongoza ndani ya dakika 45 za mwanzo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Ruvu Shooting wamejitungua wenyewe dakika ya 34 kupitia kwa nyota wao Mpoki Mwakinyuke. Licha ya Ruvu Shooting kujifunga bado Yanga ndani ya dakika 45 wameonyesha nguvu kubwa kuliandama lango la Ruvu Shooting wakimtumia mshambuliaji wao Fiston Mayele…

Read More

BRUNO AWATULIZA MATAJIRI WA DAR

REJEA andiko kwenye makala ya gazeti la Championi Jumamosi la Januari 21,2023 ukurasa wa tano. Labda ulikuwa na mambo mengi umesahau ngoja nikukumbushe kichwa cha habari cha makala hiyo, ‘Bruno Gomez… Akikufunga, pointi tatu sahau… Wakati makala inaandikwa tayari mwamba alikuwa ametupia kambani mabao 7 kwenye mechi sita na zote Singida Big Stars walisepa na…

Read More

WAZAWA ONYESHENI THAMANI ILE MNAYOSTAHILI

IMEKUWA ngumu kwa wachezaji wazawa kuwa kwenye mwendelezo bora kila wakati haina maana kwamba hawawezi hapana inaonekana wanakata tamaa mapema. Kwa sasa ukitazama kwenye kila idara wale ambao wanafanya vizuri ni wachezaji wakigeni hakika hili ni jambo ambalo lazima liwashtue wazawa. Angalau miaka ya hivi karibuni kwenye eneo la makipa wazawa walikuwa wanaonyesha ule uwezo…

Read More

YANGA YAMUANDIKIA BARUA FEI TOTO, WATAALAMU KUJADILI KIDOGO

SAKATA la nyota wa Yanga, Feisal Salum na mabosi wake Yanga bado halijafika mwisho ambapo waajiri wake hao wameweka wazi bado mchezaji ni mali yao. Fei aliwashukuru Yanga na kuweka wazi kuwa anahitaji kupata changamoto nyingine kwa kile kilichoelezwa kuwa amevunja mkataba na kurejesha fedha ambazo zilikuwa zinahitajika kwa mujibu wa mkataba wake. Kesi hiyo…

Read More

PIRA HILI KUTOKA YANGA RUVU KUKUTANA NALO

WAKATI Simba wakitamba kupiga pira Dubai kutokana na kambi yao ya wiki moja waliyoweka huko, vinara wa Ligi Kuu Bara Yanga wametamba kuwapigia pira popcon wapinzani wao Ruvu Shooting. Leo Uwanja wa Mkapa, Yanga watawakaribisha Ruvu Shooting kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza Yanga ilishinda kwa…

Read More

ARSENAL NI MOTO KWELIKWELI

KASI ya Arsenal kwenye Ligi Kuu England ni moto baada ya kupindua meza kwenye mchezo dhidi ya Manchester United wakiwa nyumbani. Ubao wa Uwanja wa Emirates umesoma Arsenal 3-2 Manchester United ambao walipigiwa mpira mkubwa wakiwa ugenini. Ni Marcus Rashford alianza kufunga dakika ya 17 na lile la pili kwa United lilifungwa na Lisandro Martinez…

Read More

BALEKE, SAWADOGO WAFANYA BALAA SIMBA

WAKIFANYA mazoezi pamoja na timu kwa siku mbili, Kocha msaidizi wa Simba, Juma Mgunda amevutiwa na nyota wapya waliosajiliwa na timu hiyo, katika dirisha dogo msimu huu. Nyota hao wapya waliosajiliwa na Simba, ni mastraika Jean Baleke, Mohammed Mussa na kiungo mkabaji Ismael Sawadogo. Mastaa hao walifanya mazoezi hayo kwa Alhamisi na Ijumaa iliyopita wakijiandaa…

Read More

MAYELE AWATUMIA SALAMU NZITO RUVU, KITAWAKA LEO KWA MKAPA

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele amesema kuwa atahakikisha kuwa anaisaidia timu hiyo kuibuka na ushindi katika mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Ruvu Shooting huku akitamani kufunga bao katika mchezo huo. Yanga leo Jumatatu wanatarajiwa kuwakaribisha Ruvu katika mchezo wa ligi kuu unaotarajiwa kufanyika katika Uwanja wa Mkapa, Dar. Akizungumza na Championi Jumatatu, Mayele…

Read More

SAKATA LA FEI TOTO NGOMA NZITO

FEI Toto nyota wa Yanga inatajwa kuwa ameongeza mwanasheria mwingine kwenye sakata ya kesi yake na Yanga. Kiungo huyo amemuongeza mwanasheria huyo baada ya kuomba, ‘review’ juu ya majibu ya kesi yake. Tayari majibu kuhusu sakata lake awali yalitolewa na Kamati Tendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) kuhusiana na shauri lake ambalo liliwasilishwa na…

Read More

MWAKA MPYA UMEANZA NA KIMBUNGA CHA ZAWADI KEM KEM JANUARI HII!

Mwaka mpya umeanza na Kimbunga cha zawadi kem kem Januari hii! Meridianbet Kasino itawafurahisha washindi 3 wenye bahati kwa kuwapatia zawadi mbalimbali, ni kwa kucheza michezo yeoyote ya kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbetkama vile Aviator, Titan Roulette, Titan Dice, Poker, God of Coins, Expanse Casino, Egyptian Buddha na mingine mingi. Mshindi wa Meridianbet Kasino Kujishindia…

Read More