YANGA YAONGEZA NGUVU ULINZI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unahitaji kuwa na ukuta imara ambao utakuwa unalindwa na makipa wenye uwezo mkubwa. Kwenye dirisha dogo Yanga imemuongeza Metacha Mnata ambaye alikuwa anakipiga ndani ya Singida ig Stars ataungana na Diarra Djigui kipa namba moja, Aboutwali Mshery pamoja na Eric Johora. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi…

Read More

DODOMA JIJI 0-1 SIMBA

LICHA ya ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma kusoma Dodoma Jiji 0-1 Simba ukuta wa Simba unaonekana kuwa mzito kwelikweli. Bao la kuongoza ndani ya dakika 45 za mwanzo limefungwa na Jean Baleke dakika ya 45 akitumia makosa ya safu ya ulinzi ya Dodoma Jiji. Dodoma Jiji wanaonekana kuwa na kasi kuitafuta ngome ya kipa…

Read More

KIKOSI CHA DODOMA JIJI DHIDI YA SIMBA

KWENYE kikosi cha Dodoma Jiji ambacho kinatarajiwa kumenyana na Simba mchezo wa Ligi Kuu Bara nyota Hassan Kessy ameanza benchi. Hiki hapa kikosi cha kwanza:- Danny Mgore Fadhil Ngalema Augustino Justine Nkosi Mwana Muhsin Opare Mwaterema Martin Akiba Kalambo Kibacha Adeyum Kessy Mgalula Kyata Raizin Zidane Karihe

Read More

YANGA KAMILI KUIKABILI RUVU SHOOTING KWA MKAPA

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting, Cedrick Kaze kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa mchezo huo. Kesho Yanga inatarajiwa kumenyana na Ruvu Shooting kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Ruvu Shooting, Uwanja wa Mkapa. Cedrick amesema wanatamua utakuwa ni mchezo mgumu lakini wapo tayari ili kupata…

Read More

JEMBE JIPYA ARSENAL KUANZA KAZI LEO

JEMBE jipya ndani ya kikosi cha Arsenal, Leandro Trossard huenda akaanza leo kuonyesha makeke mchezo dhidi ya Manchester United. Ni miaka minne amesaini ndani ya timu hiyo akitokea Brighton ambayo nayo inashiki Ligi Kuu Engand. Nyota huyo amesema kuwa ni furaha kujiunga na timu hiyi hivyo atapambana kutimiza majukumu yake kwa umakini akishirikiana na wengine….

Read More

MASHINE MPYA SIMBA KUANZA NA DODOMA JIJI

JUMA Mgunda, kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa wachezaji wote ambao wamesajiliwa kweye dirisha dogo wapo tayari kwa ajili ya kutimiza majukumu ndani a timu hiyo. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Robert Oliviera kwenye dirisha dogo ni wachezaji watatu wapya imewasajili ambao ni Jean Baleke, Ismail Sawadogo na Mohamed Mussa. Jana walifanya mazoezi ya mwisho…

Read More