Home International LIVERPOOL WAPATA SARE KWA MSAADA WA VAR

LIVERPOOL WAPATA SARE KWA MSAADA WA VAR

KIKOSI cha Liverpool licha ya kupata sare bao kina kazi kwenye mchezo wa marudiano wa Kombe la FA dhidi ya Wolves.

Kwenye mchezo wao uliochezwa Uwanja wa Anfield ilibaki kidogo watunguliwe lakini VAR iliwaokoa kwa kuligomea bao la Toti alilofunga dakika za mwisho katika sare ya 2-2 kwenye Uwanja wa Anfield.

Toti aliifunga dakika ya 82 na kuibua shangwe katika eneo la ugenini, ambalo hatimaye lilizimwa baada ya bao lao la kuotea katika eneo la nyongeza lilipoimarishwa na

Kocha wa Wolves  Julen Lopetegui amesema kuwa “Haiwezekani, lakini kuna mtu amemwambia kuwa ni offside. Tumeona picha, na haipo.”

Ilionyesha matokeo ya mwisho katika pambano la kukumbukwa la Kombe la FA huko Anfield, ambalo Wolves waliongoza baada ya dakika 26 shukrani kwa Goncalo Guedes aliyefunga bao la wazi na lile la pili ni mali ya Hwang dakika ya 66.

Mohamed Salah dakika ya 52 na Nunez dakika ya 45 walifunga kwa Liverpool huku wageni Wolves

Previous articleHAWA HAPA MAKIPA WALIOTESWA NA AZIZ KI
Next articleSIMBA KAMBI YA KISHUA DUBAI,AKPAN NA OKWA WAACHWA