>

MBEYA CITY HAWAPOI WATUMA UJUMBE HUU KWA VINARA WA LIGI

KOCHA Mkuu wa  Mbeya City, Mathias Lule, ameitahadharisha Yanga, kuwa isitarajie kupata mteremko katika mchezo ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, watakapokutana Februari 5 kwenye Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam. Mbeya City, wapo nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara wakiwa na pointi 22 kibindoni  huku wakiwa  wameshuka uwanjani mara 13 wakiwa…

Read More

KOCHA YANGA ANAFIKIRIA KUHUSU TAJI LA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema ushindi wa bao 1-0 walioupata dhidi ya Mbao FC kwenye Uwanja wa CCM Kirumba ni hatua nzuri kuwania Kombe la Shirikisho la Azam ambalo msimu uliopita walipoteza katika mchezo wa fainali. Taji hilo lipo mikononi mwa Simba inayonolewa na Pablo Franco nayo imetinga hatua ya 16 bora kwa…

Read More

SPORTPESA YAZINDUA MULTIBET BONUS YA KIBABE

KAMPUNI ya michezo na burudani Sportpesa inayo furaha kutambulisha kwa Watanzania, huduma yake mpya ya Multibet Bonus kwa wachezaji wake wote nchini. Bidhaa hii ni ya kwanza na ya kipekee kwa wachezaji wao kutokana na kiwango cha asilimia ambacho mteja atakuwa anakipata baada ya kuweka ubashiri wake kwa mechi kuanzia 3. Sportpesa imefungua mwaka kwa…

Read More

KOCHA ALIYEINOA SIMBA APEWA TUZO MOROCCO

SVEN Vandenbroec,  Kocha Mkuu wa Klabu ya FAR Rabat ya Morocco amefanikiwa kutwaa tuzo ya kocha bora wa Ligi Kuu ya Morocco msimu wa 2020/21. Sven aliwahi kuwa kocha wa Simba ya Tanzania na aliongoza timu hiyo kwa mafanikio makubwa kwa kipindi cha mwaka mmoja aliachana na Simba, Januari 6,2021. Aliweza kuifikisha timu hiyo katika…

Read More

MAJEMBE MAPYA YA YANGA YAZUIA USAJILI WA NYOTA WA KIGENI

KOCHA Mkuu wa Yanga, raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amenogewa na ubora wa wachezaji wazawa aliowasajili katika dirisha dogo huku akipanga kusimamisha usajili wa nyota wa kigeni katika msimu ujao. Baadhi ya wachezaji wazawa waliosajiliwa katika dirisha dogo ni Aboutwalib Mshery, Denis Nkane, Chrispin Ngushi na Salum Aboubakari ‘Sure Boy’. Wachezaji hao wote wamesajiliwa kwa…

Read More

MISRI YATINGA NUSU FAINALI AFCON 2021

LICHA ya kuwa nyuma jana mbele ya Morocco kwa bao lililofungwa dakika ya 6 na Soufiane Boufal Misri iliweza kupindua meza na kuibuka na ushindi. Baada ya dakika 90 kukamilika Misri iliweza kushinda mabao 2-1 na kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe Afcon 2021. Ni Mohamed Salah aliweza kusawazisha dakika ya 56 kisha mchezo…

Read More

FT:SIMBA 6-0 DAR CITY,KOMBE LA SHIRIKISHO

USHINDI wa mabao 6-0 dhidi ya Dar City unaipa nafasi Simba kutinga hatua ya 16 bora Kombe la Shirikisho. Ni katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa na Simba waliweza kwenda mapumziko wakiwa wametupia mabao manne. Ni Meddie Kagere alitupia mabao mawili huku Clatous Chama na Rally Bwalya wakitupia bao mojamoja. Kipindi cha pili Pascal Wawa…

Read More

KOCHA MPYA AZAM FC ASAINI MIAKA MITATU

OMAR Abdikarim Nasser amesaini dili la miaka mitatu kuwa Kocha Msaidizi mpya wa Klabu ya Azam FC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Januari 29 alitambulishwa rasmi kuwa ni mali ya timu hiyo inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi zao za nyumbani. Kwa mujibu wa Azam FC wamebainisha kwamba ujio wake ni pendekezo la Kocha…

Read More

MUGALU NA BOCCO WATOA GUNDU SIKU YA 193

JANUARI 28 mastaa wawili wa Simba ambao ni washambuliaji, John Bocco na Chris Mugalu walitoa gundu ya kutofunga kwa muda mrefu kwenye ligi kwa kuweza kufunga kwenye mazoezi. Ilikuwa ni siku yao ya 193 ya kuweza kucheza bila kufunga baada ya kuweza kutupia mara ya mwisho Julai 18,2021 katika mchezo wa ligi dhidi ya Namungo…

Read More

YANGA KUPELEKWA MANUNGU

OFISA Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru ameweka wazi kwamba hawafikirii kuacha kuutumia Uwanja wa Manungu kwa wakati huu kwenye mechi za Ligi Kuu Bara ambazo zipo mbele yao ikiwa ni pamoja na ile dhidi ya Yanga. Kifaru amesema kuwa uwekezaji ambao wameufanya unawapa nguvu ya kutumia uwanja wao bora ambao upo kwenye viunga vya…

Read More

MASTAA SIMBA WAPIGISHWA TIZI KWENYE JUA KALI KINOMA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba  Ijumaa aliwafanyisha mazoezi wachezaji wake mchana wa jua kali ikiwa ni maandalizi ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) dhidi ya Dar City unaotarajiwa kuchezwa leo Jumapili, Uwanja wa Mkapa. Kocha huyo sambamba na msaidizi wake, Selemani Matola waliwafanyisha mazoezi hayo mida ya saa nane…

Read More

YANGA HAO 16 BORA,MAYELE ATUPIA

NYOTA Fiston Mayele wa Yanga kipindi cha pili ameweza kupachika bao la ushindi katika mchezo wa Kombe la Shirikisho uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Bao hilo la Mayele lilipachikwa dakika ya 53 akiwa ndani ya 18 na kuwafanya mashabiki wa Yanga kunyanyuka jukwaani baada ya kuifunga Mbao FC. Ushindi huo unaifanya Yanga kutimga hatua ya…

Read More

DAKIKA 45,KIRUMBA,YANGA 0-0 MBAO FC

UWANJA wa CCM Kirumba, milango bado ni migumu kwa timu zote mbili katika mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora. Ni Yanga ambayo ulitinga hatua ya fainali na Mbao FC ya Mwanza ambayo inashiriki First League. Kipa Aboutwalib Mshery dakika ya 44 aliweza kufuta makosa yake kutokana kurudishiwa mpira na mchezaji wa Yanga….

Read More

ADAMA AREJEA NYUMBANI KWA MARA NYINGINE

NYOTA wa Wolves, Adama Traore amejiunga na Barcelona kwa mkopo hadi mwishoni mwa msimu huu kuitumikia timu hiyo. Nyota huyo alikuwa amewekwa kwenye hesabu na Kocha Mkuu wa Spurs, Antonio Conte hivyo kuibuka kwake ndani ya Barcelona maana yake ni kwamba imekula kwake sasa. Conte aliweka wazi kwamba anataka kuboresha kikosi chake lakini Spurs inaingia…

Read More