MECHI SITA ZA UGENINI ZA YANGA,NNE KUPIGWA NJE YA DAR
BAADA ya kukamilisha mzunguko wa kwanza wakiwa ni vinara na pointi zao 39 sasa wamebakiwa na mechi 6 ugenini na nne wanatarajiwa kuzicheza nje ya Dar. Katika mechi 15 mzunguko wa kwanza Yanga ilicheza mechi 9 ugenini na nyumbani ilicheza mechi 6, ilishinda mechi 12, sare 3 huku ikitupia jumla ya mabao 25. Mzunguko wa…