
DODOMA V YANGA KUPIGWA SAA 10:00 JIONI
MECHI ya Yanga dhidi ya Dodoma Jiji ambayo inatarajiwa kuchezwa Jumapili, Uwanja wa Jamhuri imebadilishwa muda kutoka ule uliopangwa awali. Awali ilikuwa ni saa 1:00 usiku mchezo huo wa ligi uchezwe na sasa unatarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni. Sababu za mchezo huo kubadilishwa muda ni kutokana na uwanja huo kuwa na matumizi mengine. Tayari timu…