RAHEEM ATUPIA UEFA CHAMPIONS LEAGUE

RAHEEM Sterling wa Chelsea alipachika bao la kuongoza dakika ya 48 likawekwa usawa na Noah Okafor dakika ya 75 kwenye mchezo wa UEFA Champions League. Ni mashuti 17 Chelsea walipiga Uwanja wa Stamford Bridge huku RB Salzburg wakipiga mashuti matatu na ni mashutu manne kwa Chelsea yalilenga lango na matatu yalilenga lango kwa RB Salzburg….

Read More

KUMBE! MAKAMBO ALIMUAMBIA AZIZ KI ATAFUNGA

SABABU kubwa ya Aziz KI kumfuata Heritier Makambo baada ya kufunga bao mbele ya Mtibwa Sugar ni ahadi ambayo alipewa. Mtu wa karibu wa wachezaji hao amesema kuwa Makambo alimuamuambia Aziz KI kuwa atafanya jambo lolote kwenye mchezo huo kufunga ama kutoa pasi. “Makambo alipokuwa benchi alimuambia Aziz KI nenda uwanjani una bao lako hapo…

Read More

MKUDE:HAIKUWA RAHISI KUSHINDA

JONAS Mkude, kiungo wa Simba amesema uwa haikuwa kazi rahisi kushinda mbele ya Tanzania Prisons kutokana na ugumu wa timu hiyo. Mkude alipachika bao la ushindi kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Sokoine, dakika ya 85 kwa pasi ya Kibu Dennis. “Kucheza na Tanzania Prisons kunahitaji kujipanga na timu ambayo itapata nafasi inaweza kushinda hivyo tulifanya…

Read More

JONAS MKUDE AMETUPIA MBELE YA PRISONS

JONAS Mkude, kiungo wa kazi ndani ya Simba amepachika bao pekee la ushindi mbele ya Tanzania Prisons dakika ya 85 na kuipa pointi tatu muhimu. Ulikuwa ni mchezo huru kwa timu zote mbili ndani ya dakika 90 kwa kila timu kutengeneza mashambulizi ya kushtukiza katika kusaka ushindi. Dakika 45 zilikuwa ngumu kwa timu zote mbili…

Read More

MAYELE MTAMBO WA MABAO YANGA

NDANI ya Yanga ni Fiston Mayele anaongoza kwa kutupia mabao akiwa nayo matatu, aliwatungua Polisi Tanzania, Coastal Union na Mtibwa Sugar. Msimu uliopita Mayele alitupia mabao 16 na pasi nne za mabao kinara alikuwa ni George Mpole wa Geita Gold alitupia mabao 17. Nasreddine Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kila mchezaji anahitaji kufanya…

Read More

MAPUMZIKO: PRISONS 0-0 SIMBA, UWANJA WA SOKOINE

UWANJA wa Sokoine dakika 45 zimekamilika kwa timu zote kukamilisha bila kupata bao la uongoza. Ubao unasoma Tanzania Prisons 0-0 Simba huku kila timu zikitengeneza mashambulizi kwa kushtukiza. Ni Ezekiel Mwashilindi ni mwiba kwa Simba kutokana na kutibua mipango huku beki Henock Inonga akiwa na kazi ya kuongoza safu ya ulinzi akishirikiana na Kenned Juma….

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA PRISONS

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda leo kinakazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Tanzania Prisons ambao nao wanazitaka pia. Hiki hapa kikosi cha kwanza kinachotarajiwa kuanza, Uwanja wa Sokoine:-  Aishi Manula Shomari Kapombe Mohamed Hussein Kennedy Juma Henock Inonga Jonas Mkude Clatous Chama Mzamiru Yassin Habib Kyombo Moses Phiri Pape Sakho…

Read More

BUKU MBILI TU KUWAONA YANGA KIMATAIFA

SEPTEMBA 17,2022 Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Zalan FC, Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku ambapo kuwaona mastaa wa Yanga ikiwa ni pamoja na Farid Musa, Fiston Mayele, Feisal Salum ni buku mbili tu, (2,000). Kwa upande wa VIP A…

Read More

GEITA GOLD BADO WANA MATUMAINI KIMATAIFA

 WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, Geita Gold wamewashukuru mashabiki kwa sapoti yao licha ya kupoteza mchezo wa kwanza kimataifa kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Hilal Al Sahil. Kocha Mkuu wa Geita Gold, Felix Minziro aliongoza kikosi hicho kwenye mchezo huo na sasa ni mahesabu kuelekea mchezo wa marudio unaotarajiwa kuchezwa Uwanja…

Read More