AZAMKA INAWALETA ZESCO KESHO AGOSTI 14

KESHO Agosti 14 kikosi cha Azam FC kitashuka Uwanja wa Azam Compex ikiwa ni mchezo wa kirafiki. Mchezo huo ni kuhitimisha kilele cha Tamasha la AZAMKA ambalo ni maalumu kwa ajili ya kuwatambulisha wachezaji wapya. Kiingilio kwenye mchezo huo kwenye jukwaa la mzunguko ni 5,000 tu hivyo mashabiki wa Azam FC watakuwa na kazi ya…

Read More

FT:YANGA 2-1 SIMBA UWANJA WA MKAPA

YANGA imeanza kwa kutetea taji lao la Ngao ya Jamii kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa kwa mabao ya Fiston Mayele ambaye amemtungua Beno Kakolanya huku lile la Simba likifungwa na Pape Sakho. Simba walianza kufunga kipindi cha kwanza mapema dk ya 16 na kuwafanya waongeze hali…

Read More

YANGA 0-1 SIMBA,UWANJA WA MKAPA

PAPE Sakho kiungo wa Simba amefunga bao la kuongoza kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii ambalo lilimshinda mlinda mlango namba moja wa Yanga Diarra Djigui. Bao hilo linawafanya Simba wanaonolewa na Zoran Maki waende mapumziko wakiongoza bao moja dhidi ya Yanga,Agosti 13,2022 ilikuwa dk ya 16.

Read More

ARSENAL YATEMBEZA KICHAPO CHA 4G

UWANJA wa Emirates, Arsenal imeshinda jumla ya mabao 4-2 dhidi ya Leicester City ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu England. Ushindi huo unawafanya washika bunduki hao kusepa na pointi tatu mazima kwa mabao ya Gabriel Jessus dk ya 23 na 35,Granit Xhaka dk 55 na Gabriel Martinell dk ya 75. Kwa upande wa Leicester City…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA SIMBA UWANJA WA MKAPA

KIKOSI cha Yanga ambacho kitaanza leo mbele ya Simba kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba kipo namna hii:-Diarra Djigui,DjumaShaban,Kibwana Shomari,Dickson Job, Yannick Bangala, Khalid Aucho,SureBoy ,Feisal Salum,Fiston Mayele,KI Aziz na Farid Mussa. Kwa upande wa wachezaji wa akiba ni Aboutwalib Mshery,Joyce Lomalisa, Bakari Mwamnyeto,Bacca, Zawad Mauya,Bigirimana, Jesus Moloko,Bernard Morrison na Makambo. Yanga…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA YANGA UWANJA WA MKAPA

KIKOSI cha kwanza cha Simba kitakachoanza dhidi ya Yanga mchezo wa Ngao ya Jamii leo Agosti 13 langoni kipa namba moja Aishi Manula amekosana hivyo makujukumu yapo kwa Beno. Maki Zoran Kocha Mkuu wa Simba ameanza namna hii ikiwa ni mchezo wake wa kwanza wa ushindani ndani ya kikosi cha Simba:-Beno Kakolanya, Israel Mwenda, Mohamed…

Read More

MAKI:TUTAJITAHIDI KUSHINDA,MO AFANYA KIKAO

ZORAN Maki,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa watajitahidi kushinda kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga. Leo Agosti 13, Simba inatarajia kumenyana na Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Maki amesema kuwa anawaheshimu wapinzani wao Yanga lakini watafanya kila namna kwenye kusaka ushindi watakapokutana. “Tunakutana na timu…

Read More

NABI:TUNAHITAJI UTULIVU KUSHINDA

NASREDDINE Nabi,Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wanahitaji utulivu mkubwa ili kuweza kushinda mchezo wao wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba. Taji hilo Yanga wanalitetea ambapo walishinda mbele ya Simba kwa bao 1-0 msimu wa 2021/22 hivyo wana kazi ya kusaka ushindi. Nabi amesema kuwa kushindwa kufanya vizuri mchezo wa kirafiki haina maana kwamba…

Read More

AZIZ KI,OKRA WAPEWA KAZI MAALUMU KWENYE DABI

MASTAA wawili wapya kwenye timu zao ambazo zinatarajiwa kukutana leo kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii, Azizi KI na Augustino Okra. Leo Aziz KI ambaye ni ingizo jipya ambaye alijiunga na Yanga akitokea Klabu ya ASEC Mimosas atakutana na Okra ambaye alijiunga na Simba akitokea Klabu ya Bechem United ya Ghana. Ni kazi ya kupiga…

Read More

AZAMKA KUNOGESHWA NA RAYVANNY

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa tamasha la AZAMKA ambalo ni maalumu kwa ajili ya utambulisho wa wachezaji wao wapya ni maalumu kwa ajili ya mashabiki. Kesho Agosti 14 Azam FC inatarajiwa kufanya tamasha lao la kipekee ambapo waandaaji watakuwa ni mashabiki wenyewe kwenye mipango kazi yote. Ofisa Habari wa Azam FC,Zakaria Thabit amesema…

Read More

KANUNI MPYA ZA WACHEZAJI WAKIGENI KUANZA LEO

 BODI ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) imebadilisha kanuni baada ya kufanya kikao cha maboresho ya kanuni za Ligi Kuu Bara. Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Shirikisho ambacho kilikaa Agosti 9,2022 jijini Arusha kimekuja na mabadiliko hayo kwa kutoa taarifa kwa familia ya michezo. Kanuni hiyo ni pamoja na ile ya matumizi ya wachezaji…

Read More

MAYELE VIGINGI VYAKE VITATU HIVI HAPA DHIDI YA SIMBA

MSHAMBULIAJI namba moja ndani ya Yanga, Fiston Mayele aliyefunga mabao 16 kwenye ligi anatarajiwa kukwaa vigingi vitatu Agosti 13, kwenye mchezo dhidi ya Simba. Nyota huyo anashikilia rekodi ya kuwatungua Simba kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii uliochezwa msimu wa 2021/22 wakati huo alipokuwa chini ya beki bora wa msimu Henock Inonga raia wa DR…

Read More

IJUE SABABU YA MASHINDANO MAPYA AFRIKA

RAISI wa Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika, Patrice Motsepe ametangaza kuanzishwa kwa mashindano mapya ya vilabu Afrika yatakayo julikana kama “CAF Super League” alipokuwa akizungumza katika mkutano mkuu wa CAF uliofanyika hivi karibuni jijini Arusha nchini Tanzania. Michuano hiyo itaanza kutimua vumbi Agosti,2023 ikihusisha timu 24. Malengo makubwa ya michuano hiyo ni kusaidia timu…

Read More