GEITA GOLD WASHUSHA MTU MWINGINE WA KAZI

 WACHIMBA madini,Geita Gold hawatanii kwa kuwa wana jambo lao na leo Agosti 7,2022 wameweza kumtambulisha nyota mpya katika kikosi hicho. Timu hiyo inakwenda kushiriki mashindano ya kimataifa Afrika baada ya kumaliza ligi ikiwa nafasi ya nne hivyo inajipanga kuwa ya kipekee. Ni beki Yahya Mbegu leo ametambulishwa kuwa mchimba madini mapya baada ya Agosti 4…

Read More

SINGIDA BIG STARS INAFIKIRIA KIMATAIFA

UONGOZI wa Singida Big Stars,umeweka wazi kwamba malengo yao ni kumaliza katika nne za juu ili waweze kushiriki mashindano ya kimataifa. Timu hiyo ambayo inatumia Uwanja wa Liti kwa mechi za nyumbani ina maingizo mapya ya kimataifa ikiwa ni pamoja na Meddie Kagere na Pascal Wawa ambao waliwahi kucheza Simba.  Ofisa Habari wa Singida ig…

Read More

TIMU YA TAIFA BEACH SOCCER KAZINI LEO

LEO kikosi cha Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni ‘Beach Soccer’ kitakuwa na mchezo wa marudiano wa kufuzu AFCON (BSAFCON) dhidi ya Malawi kwa ajili ya kufunga hesabu yake ya maandalizi hayo kwenye Fukwe za Coco jijini Dar es Salaam. Katika mazoezi ya mwishomwisho yaliyofanyika Ijumaa na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa michezo wakiongozwa…

Read More

UZI MPYA WA SIMBA WAZINDULIWA

 LEO Agosti 7,2022 washindi wa pili ndani ya Ligi Kuu Bara,Simba wamezindua uzi wao mpya ambao utatumika kwa msimu wa 2022/23. Ni Sinza,madukani ilipo ofisi ya mdhamini wa Simba, Fred Vunjabei uzinduzi huo umeweza kufanyika. Pia VunjaBei ametambulisha logo (chapa) mpya itakayotumika kutambulisha mavazi ambayo atakuwa anayazalisha kuanzia sasa, na kwa mara ya kwanza logo…

Read More

AZAM FC WAJA NA AZAMKA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa msimu huu wanakuja tofatauti katika tamasha lao ambapo litakuwa mikononi mwa mashabiki.  Thabit Zakaria,Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa watakuwa na tamasha maalumu linalokwenda kwa jina la AZAMKA ambalo ni kwa ajili ya kuwatambulisha wachezaji wao lakini watakaoandaa mpango kazi ni mashabiki wa Azam FC. Kwa sasa…

Read More

UZI MPYA SIMBA KUTAMBULISHA,SIMBA DAY KUWA YA KIPEKEE

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa tamasha la Simba Day mwaka huu litakuwa la kipekee tofauti na zama. Ahmed Ally,Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ndani ya Simba ameweka wazi kuwa kila kitu kinakwenda sawa. Tayari wageni wao ambao ni St George wamewasili Tanzania kwa ajili ya kufanya maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa…

Read More

HAJI MANARA:NILIKUJA KAMA MSHEREHESHAJI TU

HAJI Mnara,amesema kuwa kwenye tamasha la Wiki ya Mwananchi amehudhuria pale akiwa ni MC na sio msemaji wa Yanga. Agosti 6,2022 katika kilele cha Wiki ya Mwananchi,Manara aliibuka na kufanya sapraizi kubwa kwa mashabiki na wanachama wa Yanga. Ikumbukwe kwamba Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) ilitoa adhabu kwa Manara Julai 21 mwaka…

Read More