>

MALALE HAMSINI YATIMIA BAADA YA MUDA MREFU

RASMI uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara umethibitisha kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo kwa msimu wa 2021/22. Ikumbukwe kwamba Januari 11,2021 uongozi wa Polisi Tanzania ulibainisha kuwa kocha huyo Malale Hamsini ataendelea kuwa kocha wa timu hiyo baada ya taarifa kuripotiwa kwamba amefutwa kazi. Hatimaye yametimia leo…

Read More

JUVENTUS YAKUBALI KUMUUZA BEKI WAO

KLABU ya Juventus ya Italia imekubali kumuuza beki wake wa kati, Matthijs de Ligt (22) kwenda  kwa mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich kwa ada ya Paundi Milioni 68 (Tsh. 186,320,000,000) Taarifa kutoka Ujerumani zinaeleza kuwa beki huyo wa kimataifa wa Uholanzi atasaini mkataba wa miaka mitano na Bayern mara baada ya kukamilisha vipimo vya afya…

Read More

BEKI YASSIN AJIUNGA NA SINGIDA BIG STARS

 YASSIN Mustapha leo Julai 18,2022 ameweza kutambulishwa kuwa ni mali ya Klabu ya Singida Big Stars. Beki huyo msimu wa 2021/22 alikuwa anakipiga ndani ya mabingwa wa ligi ambao ni Yanga. Ni dili la miaka miwili ameweza kusaini kuweza kupata changamoto mpya katika timu mpya ambayo atakuwa anacheza kwa msimu ujao. Kwa mujibu wa Ofisa…

Read More

ROBERTSON ANAAMINI NUNEZ ATAKUWA MSAADA

 BEKI wa Liverpool,Andy Robertson ameweka wazi kuwa ingizo jipya ndani ya kikosi hicho Darwin Nunez utaleta mabadiliko kutokana na uwezo wake. Ni pauni milioni 85 zimetumika na Liverpool kuipata saini ya Nunez mwenye miaka 23 ambaye ametoka Klabu ya Benfica,mwezi uliopita. Nyota huyo alishindwa kuonyesha makeke kwenye mchezo wake wa kwanza wa kirafiki wakati timu…

Read More

NGOMA NZITO KWA MANZOKI KUTUA SIMBA

KLABU ya Simba ipo kwenye wakati mgumu kuhakikisha inamalizana na straika wa Vipers, Cesar Manzoki ambaye mkataba wake umebaki miezi miwili, huku miamba ya Uganda ikigoma kumuachia ikidai shilingi milioni 100.  Manzoki ni miongoni mwa wachezaji ambao walitarajiwa kuungana na kikosi cha Simba kilichoweka kambi nchini Misri kujiandaa na msimu ujao wa 2022/23, lakini hadi…

Read More

AZAM FC YATAMBIA USAJILI WAO

UONGOZI wa Azam FC, umeweka wazi kuwa usajili ambao wameufanya kwa ajili ya msimu mpya wa 2022/23 umezingatia mapendekezo ya benchi la ufundi kwa asilimia kubwa. Tayari Azam FC imewatambulisha mastaa 8 ikiwa ni pamoja na Cleophance Mkandala kutoka Dodoma Jiji,Isah Ndala kutoka Plateau United,Tape Edinho kutoka ES Bafing,Kipre Junior kutoka Sol FC. Pia yupo…

Read More

YANGA WATAJA SABABU YA KUMPA MKATABA AZIZ KI

BAADA ya kukamilisha utambulisho wa kiungo wa Yanga, Aziz KI uongozi wa Yanga umetaja sababu ya kumsajili kiungo huyo kuwa ni uwezo wake. Inaelezwa kuwa usajili wa kiungo huyo aliyekuwa anakipiga ndani ya ASEC Mimosas umewatoa Yanga milioni 700 akiwa amepewa kandarasi ya miaka miwili kuwatumikia mabingwa mara 28 wa Ligi Kuu Bara. Ofisa Habari…

Read More

BEKI APEWA MKATABA MGUMU AKUBALI KUSAINI JANGWANI

MABOSI wa Yanga wamempa mkataba mgumu wa mwaka mmoja wenye masharti beki wake wa kati, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ hiyo ikiwa ni siku chache tangu beki huyo atambulishwe kuendelea kubakia kuichezea timu hiyo. Awali, beki huyo alikuwa katika mipango ya kuachwa pamoja na baadhi ya wachezaji akiwemo Yassin Mustapha, Deus Kaseke na Paul Godfrey ‘Boxer’. Taarifa…

Read More

NENGA,NANDY WAPEWA KADI NA RAIS

 RAIS  wa Klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said amewakabidhi kadi za uanachama kwa Wasanii Faustina Mfinanga wanamjua kwa jina la Nandy na William Lyimo  wengi wanauita Nenga. Wawili hao kwa sasa ni mwili mmoja baada ya kukamilisha kufunga pingu za maisha wikiendi hii. Mbali na kadi hizo pia Injinia Hersi aliwakabidhi fedha  Tsh Mil 5,ikiwa…

Read More