KUMBE!CHAMA HAKUTAKIWA KUSAJILIWA SIMBA

MWAMBA wa Lusaka, Clatous Chama hakutakiwa kusajiliwa ndani ya kikosi cha Simba msimu huu wa 2021/22 na badala yake alitakiwa kusajiliwa mshambuliaji wa kazi ambaye angetatua tatizo la ubutu wa ushambuliaji. Kiongozi mmoja wa Simba ambaye yupo ndani ya kamati inayofanya masuala ya usajili ameeleza kuwa ni mapendekezo yaliyofanywa na mtu mmoja pekee ambaye alitaka…

Read More

AZIZ KI ATAJWA KUINGIA RADA ZA YANGA

 IMEELEZWA kuwa Yanga ipo kwenye mpango wa kuinsa saini ya kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas Aziz Ki ili aweze kuongeza nguvu kwa msimu ujao wa 2022/23. Nyota huyo alikuwa anapigiwa hesabu pia na Simba ambayo kwa sasa ipo chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Seleman Matola baada ya Pablo Franco kuchimbishwa ndani ya kikosi hicho. Ni…

Read More

MORRISON AGOMEA KURUDI SIMBA,YANGA YATAJWA

BERNARD Morrison kiungo mshambuliaji wa Simba amegomea kurudi ndani ya timu hiyo kwa kile kinachoelezwa kuwa kutokuwa na maelewano mazuri na moja ya viongozi wenye maamuzi makubwa. Nyota huyo ambaye alisimamishwa kwa muda na mabosi wa Simba kwa kile ambacho kilieleza kwamba anashughulikia matatizo ya kifamilia mkataba wake unameguka mwisho wa msimu huu. Na muda…

Read More

TIMU YA WANAWAKE KILIMANJARO KESHO INAANZA KAZI

TIMU ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Queens’kesho inatarajia kutupa kete yake ya kwanza mbele ya Sudan Kusini. Ni kwenye mchezo wa mashindano ya CECAFA wanawake,ambayo imeanza kutimua vumbi leo Juni,Mosi 2022 nchini Uganda. Pia Waamuzi wa Tanzania Florentina Zablon, Janeth Balama, Tatu Nuru nao pia wapo kwenye orodha ya waamuzi ambao watachezesha…

Read More

JEMBE HILI LA KAZI NYIA NYEUPE KUTUA SIMBA

IMEFAHAMIKA kuwa, uongozi wa Yanga umeachana na mipango ya kumsajili kiungo mshambuliaji wa Zanaco, Mzambia, Moses Phiri na kumuachia kwenda Simba. Awali Yanga ilikuwa katika mipango ya kumsajili kiungo huyo katika kukiimarisha kikosi chao kwa ajili ya michuano ya kimataifa watakayoshiriki msimu ujao. Yanga imeanza kukiboresha kikosi chao kwa ajili ya msimu ujao kwa kuwaongezea…

Read More

HUYU HAPA KOCHA MPYA SIMBA

INAELEZWA kwamba, Kocha Mkuu wa APR ya Rwanda, Mohammed Adil Erradi, ametua Dar kimyakimya kwa ajili ya kufanya mazungumzo na mabosi wa Simba huku akiwa ameomba ruhusa ya mapumziko katika klabu yake. Simba imekuwa katika kipindi cha kufanya mabadiliko makubwa ndani ya timu hiyo kutokana na kutokuwa na matokeo mazuri ikishindwa kutetea mataji yake yote…

Read More

NTIBANZOKIZA ATAJWA KUIBUKIA SINGIDA BIG STARS

SAID Ntibanzokiza, aliyekuwa nyota wa kikosi cha Yanga anatajwa kuibukia ndani ya kikosi cha Singida Big Stars ambayo zamani ilikuwa inaitwa DTB. Timu hiyo imepanda Ligi Kuu Bara msimu huu wa 2021/22 ikitokea Championship na msimu ujao wa 2022/23 itakuwa ndani ya ligi. Habari zimeeleza kuwa timu hiyo ambayo itakuwa na maskani yake Singida huku…

Read More

KOMBE LA DUNIA NDANI YA TANZANIA

KOMBE la Dunia kwa sasa lipo kwenye ardhi ya Tanzania, Dar ndipo linapatikana kwa sasa. Hii ni desturi ya Shirikisho la Soka la Kimataifa, (Fifa) huwa wanakuwa na desturi ya kulitembeza Kombe la Dunia ambalo kwa mwaka 2022 linatarajiwa kuanza Novemba 21 hadi Desemba 18 huko Qatar.  Jana Mei 31 Rais wa Tanzania, Samia Hassan Suluhu,…

Read More