SINGIDA BIG STARS WAMOTO KWELI,CHEKI MASTAA WANAOTAJWA

IMEELEZWA kuwa mabosi wa Singida Big Stars wapo kwenye hesabu za kuoresha kikosi chao na wataanza kuwavuta nyota wenye uzoefu katika kikosi hicho. Singida Big Stars imepanda daraja kutoka Championship ambapo kwa sasa ipo kwenye maandalizi ya msimu mpya wa 2022/23 ndani ya Ligi Kuu Bara na itatumia Uwanja wa Liti,Singida.  Dickson Ambundo,Deus Kaseke,Paul Godfrey,Erick…

Read More

MAJEMBE HAYA MAWILI KUIBUKIA YANGA

IMEELEZWA kuwa mabosi wa Yanga wamemalizana na nyota wawili kwa ajili ya msimu ujao wa 2022/23 kwenye ligi na mechi za kimataifa. Ni Stephan Aziz KI ambaye ni mali ya ASEC Mimosas yeye ni kiungo mshambuliaji na Lazarous Kambole kutoka Kaizer Chiefs yeye ni raia wa Zambia ambaye ni mshambuliaji. Sababu kubwa ya kuweza kunasa…

Read More

MNIGERIA WA SIMBA ATAJWA YANGA

KIUNGO Victor Akpan mali ya Coastal Union anatajwa kuwavuruga vigogo ambao wanawania saini yake kwa sasa. Ni Simba walianza kuiwania saini ya kiungo huyo ambaye jana mbele ya Yanga aliweza kutimiza majukumu yake kwa umakini licha ya timu hiyo kupoteza kwa kufungwa mabao 3-0. Habari zinaeleza kuwa Simba wana nafasi kubwa ya kumnasa kiungo huyo…

Read More

MWAMBA HUYU HAPA KUTUA YANGA,YEYE NI BEKI

IMEELEZWA kuwa Yanga ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya nyota Joyce Lomalisa ambaye anakipiga Klabu ya Sagrada Esperanca ya Angola. Nyota huyo ni beki ambaye anakuja kuongeza nguvu kwenye kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Hivyo kutua kwake ndani ya Yanga kutafanya aweze kuungana na beki mwingine wa kazi, Yannick Bangala…

Read More

KISA UBINGWA WA LIGI, SIMBA WAIBUKA,YANGA WAJIBU

MUDA mfupi baada ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kuweza kufanikisha lengo la kuwa mabingwa watani zao wa jadi Simba wametuma ujumbe wao. Ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa umewafanya Yanga kusepa na pointi tatu na kufikisha pointi 67 ambazo hizo ni mali…

Read More

YANGA YATWAA UBINGWA WA 28 BONGO

YANGA imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo ulikuwa na ushindani mkubwa ambapo timu zote zilikuwa zinahitaji kupata ushindi. Dakika 15 za mwanzo Coastal Union ilianza kwa kasi ila mipango ilikuwa inakwama kwenye miguu ya Dickson Job na Yanick…

Read More

MKOMBOZI WA SIMBA KWENYE MAJUKUMU MAZITO

SIMBA iliyo chini ya Kocha Msaidizi Seleman Matola imemtambulisha rasmi nyota Moses Phiri ambaye alikuwa anakipiga ndani ya Klabu ya Zanaco. Huu unakuwa ni usajili wa kwanza kwa Simba ambao msimu huu wamepoteza kila taji amalo lilikuwa mkononi mwao. Ni dili la miaka miwili nyota huyo amepewa ambapo anamajukumu ya kuweza kufanya kazi ya kutibu…

Read More

YANGA:UBINGWA ASILIMIA 99

 HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa kwa sasa licha ya kwamba bado hawajashinda ila ni suala la muda tu. Leo Yanga ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Coastal Union ikiwa watashinda mchezo wa leo basi watakuwa ni mabingwa kwa kuwa pointi 67 ambazo watazipata hazitafikiwa…

Read More

HIVI NDIVYO PABLO ATAKAVYOFANYA USAJILI SIMBA

UONGOZI wa Simba umesema kuwa, kocha wao mpya atatumia ripoti ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mhispania, Pablo Franco kwa ajili ya kufanya usajili wa msimu ujao. Simba tayari imeanza usajili wa kimyakimya huku wakimsubiria kocha mpya atakayetangazwa hivi karibuni akija kuchukua mikoba ya Pablo aliyetimuliwa Mei, mwaka huu. Timu hiyo ipo katika hatua…

Read More

M-BET YAIPIGA TAFU TASWA SC

KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha nchini, M-Bet Tanzania imeisaidia vifaa vya michezo timu ya Waandishi wa Habari za michezo nchini, Taswa SC kwa ajili kutimika katika shughuli mbalimbali za michezo nchini. Vifaa hivyo ni jezi na mpira ambapo Meneja Masoko wa M-Bet Tanzania, Allen Mushi amesema kuwa wamefikia hatua hiyo baada ya kuvutiwa na mwenendo…

Read More

SIMBA YAFUNGUKIA KUMREJESHA LUIS

BAADA ya tetesi nyingi kuzagaa za kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba, Luis Miquissone raia wa Msumbiji kurejea katika timu hiyo, uongozi wa Simba SC umeibuka na kufungukia ishu nzima. Luis alijiunga na Al Ahly Agosti 26, 2021 kwa mkataba wa miaka minne akitokea Simba baada ya kucheza kwa takribani msimu mmoja na nusu kuanzia…

Read More

UBINGWA WA 28 WANUKIA LEO YANGA

JUNI 15, Uwanja wa Mkapa saa 2:30, Yanga v Coastal Union ni mchezo wa mzunguko wa pili ule wa kwanza Uwanja wa Mkwakwani, ubao ulisoma Coastal Union 0-2 Yanga. Mchezo wa leo ikiwa Yanga itashinda itafikisha pointi 67 ambazo hazitaweza kufikiwa na timu nyingine hivyo itakuwa imeshatwaa ubingwa wa ligi. Ikitokea ikapoteza utakuwa ni mchezo…

Read More

CHEKI VIGONGO VYA KAZI ZA MATOLA SIMBA

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Klabu ya Simba ana vigongo vitano ndani ya Juni kuweza kuiongoza timu hiyo kukamilisha mzunguko wa pili. Mabingwa hao watetezi hawana uhakika wa kuweza kutetea taji hilo kutokana na kuachwa kwa pointi 13 na watani zao wa jadi Yanga walio nafasi ya kwanza na pointi 64. Ni mechi za kazi…

Read More

MPANGO WA BIASHARA WAKWAMA KAITABA

MPANGO wa Biashara United kusepa na pointi tatu mbele ya Kagera Sugar ulikwama baada ya kushindwa kushinda. Huo ulikuwa ni mchezo wa kwanza wa Kocha Mkuu, Khald Adam ambaye alichukua mikoba ya Vivier Bahati ambaye alifutwa kazi kutokana na mwendo mbaya wa timu hiyo kwenye mechi 6 mfululizo. Kagera Sugar nao wakiwa Uwanja wa Kaitaba…

Read More

KOCHA SIMBA AINGIA RADA ZA AZAM FC

WAKATI mabosi wa Simba wakitajwa kuwa kwenye mazungumzo na mtaalamu wa viungo ili aweze kuibuka ndani ya kikosi hicho ambaye ni Adel Zraine, vigogo wengine nao wamemvutia kasi kocha huyo.  Zraine aliwahi kuwa ndani ya kikosi cha Simba na alifungashiwa virago baada ya timu hiyo kuodolewa katika hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu…

Read More