TEAM KIBA WAWANYOOSHA TEAM SAMATTA

KWENYE mchezo wa leo wa NIFUATE wa SAMAKIBA Foundation,Team Kiba wameibuka mabingwa kwa ushindi wa penalti 4-2 dhidi ya Team Samatta baada ya dk 90 kutoshana nguvu kwa kufungana mabao 3-3. Mabao ya Team Kiba yalifungwa na Simon Msuva ambaye alitupia mawili dk ya 23 na 67 huku moja likifungwa na Alikiba kwa penalti dk…

Read More

SOPU APIGIWA HESABU NA VIGOGO VITATU

IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye hesabu za kuiwania saini ya kiungo mshambuliaji wa Coastal Union,Abdul Suleiman,’Sopu’. Sopu amekuwa kwenye ubora wake msimu huu ambapo anaongoza kwa utupiaji wa mabao akiwa nayo 7 kwenye ligi. Ikumbukwe kwamba kiungo huyo amecheza Simba kisha akaibukia Ndanda kwa mkopo na akaibuka ndani ya Coastal Union inayonolewa na…

Read More

SIMBA KAMILI KUIVAA KMC

SELAMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya KMC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Simba imetoka kushinda mabao 3-0 dhidi ya Mbeya City kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Matola amesema:”Mchezo wetu tunajua kwamba utakuwa mgumu lakini tupo tayari kwa ajili ya kuweza kuona tunapata…

Read More

MCHEZO MZIMA WA AZIZ KI KUSAINI YANGA UPO HIVI

SAKATA la usajili wa kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Stephanie Aziz Ki, limeingia katika sura mpya na kumuibua Msemaji wa Yanga, Haji Manara ambaye amefunguka kila kitu kuhusu ishu ya staa huyo kutua Jangwani. Aziz Ki amekuwa gumzo kubwa kwa siku za karibuni kufuatia kuziingiza kwenye vita kali klabu za Simba na…

Read More

TUCHEL ANAMTAKA LEWANDOWSKI

KOCHA Mkuu wa klabu ya Chelsea raia wa Ujerumani Thomas Tuchel ameisisitizia Bodi ya klabu hiyo kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha inapata saini ya mshambuliaji hatari wa Bayern Munich na Timu ya Taifa ya Poland Robert Lewandowski. Tuchel anatamani Lewandowski achukue mikoba ya Romelu Lukaku ambaye anatazamiwa kujiunga na klabu yake ya zamani ya Inter Milan…

Read More

ARSENAL WAINASA SAINI YA KIUNGO MSHAMBULIAJI

KLABU ya Arsenal ya nchini Uingereza imefanikiwa kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa klabu ya FC Porto ya nchini Ureno Fabio Vieira (22). Arsenal imekamilisha dili la kumsajili kiungo uyo kwa ada ya Paundi milioni 34 ambayo ni sawa na Shilingi Bilioni 96.9 za kitanzania ambapo itatoa Paundi milioni 30 kwanza halafu Paundi milioni 4…

Read More

ISHU YA UFUNGAJI BORA MAYELE AFUNGUKIA

KINARA wa mabao wa Ligi Kuu Bara, Mkongomani Fiston Mayele ameibuka na kumwambia mpinzani wake wa Geita Gold, George Mpole hatakubali akiache kiatu cha ufungaji bora msimu huu. Kauli hiyo ameitoa mara baada ya kufunga mabao mawili na kufikisha mabao 16 katika ufungaji huku mpinzani wake akifunga 15. Mkongomani huyo alifunga mabao hayo katika mchezo…

Read More

RATIBA LIGI KUU BARA

LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo Juni 18, ambapo timu mbili zitakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu muhimu. Ni Geita Gold itawakaribisha Biashara United katika Uwanja wa Nyankumbu. Geita Gold ipo nafasi ya 4 ikiwa na pointi 39 inakutana na Biashara United iliyo nafasi ya 15 na pointi 25. Pia mchezo mwingine ni…

Read More

MSUVA ATAJWA SIMBA,YANGA

KIUNGO mshambuliaji wa Wydad Casablanca, Mtanzania Simon Msuva amekiri kufuatwa na kufanya mazungumzo na timu kongwe za Simba na Yanga kwa ajili ya kumsajili kuelekea msimu ujao. Kiungo huyo hivi sasa yupo nchini akisubiria hatima ya kesi yake inayoendelea Fifa dhidi ya klabu yake hiyo anayoichezea ya Casablanca. Msuva amesema kuwa hivi karibuni ataweka wazi…

Read More

HESABU ZA KIMATAIFA ZA YANGA NOMA

 UONGOZI wa kikosi cha Yanga, umeweka wazi kuwa wamejiwekea malengo makubwa ya kuhakikisha msimu ujao, angalau wanacheza hatua ya makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.   Ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union umewafanya Yanga rasmi kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa ligi na kuandika rekodi ya kushinda ubingwa huo kwa mara ya 28….

Read More