FT:BIASHARA UNITED 1-1 YANGA

DAKIKA 90 Uwanja wa CCM Kirumba zimekamilika kwenye moja ya mchezo mzuri wa Ligi Kuu Bara kati ya Biashara United v Yanga na wote kuweza kutoshana nguvu. Ubao umesoma Biashara United 1-1 Yanga ambapo walianza kufunga Yanga kisha Biashara United wao wakaweka usawa. Ilikuwa ni bao la dk ya 74 Fiston Mayele ambaye amefikisha jumla…

Read More

HT:BIASHARA UNITED 0-0 YANGA

 DAKIKA 45 za mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Biashara United v Yanga zimemeguka Uwanja wa CCM Kirumba leo Mei 23. Ubao unasoma Biashata United 0-0 Yanga ambapo kila timu inacheza kwa kushambulia na mpira wa pasi nyingi. Yanga ambao ni vinara wa Ligi Kuu Bara wamepiga jumla ya kona mbili ambazo hazijaleta matunda…

Read More

RUVU SHOOTING YAOMBA KUPEWA MUDA WA MAPUMZIKO

MASAU Bwire,Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa wameomba kupewa muda wa mapumziko kwa Bodi ya Ligi Tanzania,(TBLP) kwa mchezo wao dhidi ya Azam FC ili waweze kufanya maandalizi kwa kuwa wapo safarini.  Bwire amesema kuwa baada ya kukamilisha mchezo wao juzi kwa sare ya bila ufungana na Kagera Sugar hawakupata muda wa kupumzika zaidi…

Read More

IKAWE NI NUSU FAINALI YENYE KHERI

TUNAAMINI kwamba kwa muda ambao umeaki kuelekea mechi za hatua ya nusu fainali kila timu inafanya maandalizi mazuri ili kuweza kupata matokeo kwenye mechi ambazo watacheza. Ni Yanga wao watacheza na Simba na Coastal Union hawa watamenyana na Azam FC katika hatua ya nusu fainali ambayo inatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kwa mechi hizi za…

Read More

YANGA KUIKABILI BIASHARA UNITED KWA HESABU

 NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wataingia kwa tahadhari leo Uwanja wa CCM Kirumba kusaka ushindi mbele ya Biashara United. Mchezo wa leo unatarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni ambapo timu zote zipo kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Yanga kwenye msimamo inaongoza ligi ikiwa na pointi zake 63 baada ya kucheza mechi 25…

Read More

PABLO MAMBO MAGUMU NDANI YA SIMBA

MAMBO magumu kwa Pablo Franco ndani ya kikosi cha Simba baada ya jana kulazimisha sare ya pili mfululizo kwenye ligi mbele ya Geita Gold baada ya mchezo uliopita kufungana bao 1-1 dhidi ya Azam FC. Mastaa wake wakiwa Uwanja wa CCM Kirumba walikubali sare ya kufungana bao 1-1 kwenye mchezo wa ligi ambao ulikuwa wazi…

Read More