NAMUNGO YAIBANA MBAVU SIMBA

KIKOSI cha Namungo leo Mei 3,2022 kimeibana mbavu Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kwa kupata sare ya kufungana mabao 2-2. Ngoma imechezwa Uwanja wa Ilulu ambapo Namungo walianza kwa kasi kubwa kusaka ushindi na waliwatangulia Simba. Ilikuwa dk ya 7 kupitia kwa Jacob Masawe aliyepachika bao hilo kwa kichwa kisha likawekwa usawa na…

Read More

KAZE:TUTAPAMBANA KUPATA POINTI TATU

CEDRICK Kaze,Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa kwa mechi ambazo zimebaki watapambana kupata pointi tatu muhimu kwa kuwa walizikosa zile za Simba. Kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Aprili 30,2022 Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Yanga 0-0 Simba hivyo watani hao wa jadi waligawana pointi tatu. Akizungumza na Saleh Jembe,Kaze amesema kuwa wana kazi kubwa ya…

Read More

NAMNA YANGA NA SIMBA WALIYVOWAPA MKWANJA TFF

 KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania imetoa adhabu baada ya kupitia matukio ambayo yalikuwa kwenye mechi zilizochezwa hivi karibuni. Hii ni kwenye Ligi Kuu Bara, Championship na kuna timu ambazo zilikutwa na hatia kisha zikapigwa adhabu kutokana na makossa ambayo waliyafanya. Ripoti inaonyesha kwamba Yanga imepigwa faini y ash.2,000,000 kwa…

Read More

YANGA KUINGIA KAZINI KWA MARA NYINGINE TENA

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi kesho Mei 4 kinatarajiwa kushuka uwanjani kusaka pointi tatu mbele ya Ruvu Shooting. Tayari kikosi hicho kimewasili salama Kigoma na kupokelewa kwa shangwe kubwa na mashabiki ambao walijitokeza jana Mei 2. Ni mchezo wa mzunguko wa pili baada ya ule wa kwanza Yanga kushinda mabao 3-1 Uwanja…

Read More

SIMBA KUIKABILI NAMUNGO WAKIWA NA HOFU

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo Mei 3 wana kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Namungo huku wakiwa na hofu kuhusu mchezo wa leo. Mchezo huo ni wa ligi ikiwa ni mzunguko wa pili ambapo wababe hao wanatarajiwa kuwa kwenye msako wa pointi tatu kama itakavyokuwa kwa Namungo. Ikumbukwe kwamba mchezo…

Read More

KIBWANA,SAIDO BADO HAWAJAPEWA MIKATABA

WAKATI wachezaji Kibwana Shomari na Saido Ntibazonkiza wakiwa wanafanya vyema ndani ya Yanga, habari mbaya zaidi kwa upande mwingine ni kuwa wachezaji hao bado hawajapewa mikataba mipya huku ile ya awali ikiwa inatamatika hivi karibuni. Saido na Kibwana, wote wamekuwa katika sehemu ya kikosi cha kwanza cha timu hiyo cha kocha mkuu Mtunisia, Nasreddine Nabi,…

Read More

FULHAM YAGAWA KIFURUSHI CHA WIKI

KLABU ya Fulham imetwaa ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza nchini Uingereza maarufu kama Championship. Fulham imechukua Ubingwa huo ikiwa katika Uwanja wake wa nyumbani Craven Cottage kwa kuichakaza Luton kwa jumla ya mabao 7-0. Fulham iliyoshuka daraja msimu uliopita kwa matokeo hayo sasa inapanda daraja na kurudi katika Ligi Kuu nchini Uingereza. Imecheza jumla…

Read More