Home Sports VIDEO:TAZAMA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA WAKIWA PAMOJA

VIDEO:TAZAMA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA WAKIWA PAMOJA

JANUARI Mosi 2022, Uwanja wa Mkapa mashabiki wa Yanga walijitokeza pia kushuhudia mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba v Azam FC ambao ulikuwa ni wa kwanza kwa timu hizo ndani ya ligi kwa msimu wa 2021/22.

Baada ya dakika 90 ilikuwa Simba 2-1 Azam FC ambapo mashabiki hao wa Yanga walikuwa wakipiga stori na mashabiki wa Simba bila tatizo baada ya dakika 90 kukamilika.

Previous articleLIVERPOOL WAKWAMA KUSEPA NA POINTI TATU DARAJANI
Next articleBREAKING:MRITHI WA MIKOBA YA HAJI MANARA HUYU HAPA