VIERA ACHAPWA BAADA YA MECHI SABA

PATRICK Viera, Kocha Mkuu wa Crystal Palace alikuwa na wakati mgumu baada ya kunyooshwa kwa mara ya kwanza ndani ya Ligi Kuu England ikiwa ni baada ya kucheza mechi saba bila kufungwa. Ilikuwa ni Novemba 27 ambapo alishuhudia Uwanja wa Selhurst Park ukisoma Crystal Palace 1-2 Aston Villa ambayo inanolewa na Steven Gerrad. Vieira amekuwa…

Read More

YANGA HAWATAKI KABISA DENI WAMALIZANA NA MORRISON

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa tayari umemlipa kiungo wao zamani Mghana, Bernard Morrison faini ya Sh12Mil kutoka Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo ‘CAS’ huku ukiwataka mashabiki wa timu hiyo kupotezea majibu ya hukumu hiyo. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu CAS itangaze hukumu ya Morisson na Yanga ambayo ilishindwa huku ikitakiwa kumlipa kitita cha Swis 5,000 (Sh12,396,787). Katika hukumu hiyo iliyokuwa na kurasa 29 imeeleza kuwa ushahidi uliotolewa na…

Read More

VIWANJA VYETU BADO TATIZO, MABORESHO MUHIMU

WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara na Championship zikizidi kupasua anga kuna tatizo jingine ambalo linazidi kuwa kubwa kadri siku zinavyozidi kusonga mbele. Ipo wazi kwamba kwa msimu wa 2021/22 kila kona kumekuwa na hamasa kwa ajili ya kuona kwamba kila timu inapata matokeo lakini sehemu za kuchezea asilimia 70 bado hazijawa bora. Mpaka sasa kwa…

Read More

DUH! RONALDO AAMBIWA NI MZEE SANA

MASHABIKI wa Manchester United wameanza kuwa na hofu kubwa siku chache kabla kocha mpya hajaanza kufundisha timu hiyo ambayo jana ililazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. United inatarajiwa kufundishwa na kocha Ralf Rangnick ambaye anatarajiwa kukaa kwenye timu hiyo hadi mwisho wa msimu wa 2021/22. Kocha…

Read More