>

KUMBE TATIZO LA AZAM FC LIPO HAPA

VIVIER Bahati, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa tatizo kubwa ambalo linaitesa timu hiyo kwenye mechi zake za ligi ni kukosa umakini kwenye mechi ambazo wamecheza. Azam FC ilinyooshwa mabao 2-0 dhidi ya Yanga pia ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Polisi Tanzania kwenye mechi za awali kabisa msimu wa 2021/22. Ilishinda bao…

Read More

SIMBA:MAGUMU TUNAYOPITIA YATAKWISHA

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa magumu ambayo wanayapitia kwa sasa yana muda kwa kuwa wanapambana kurudi kwenye ubora uliozoeleka. Ikiwa imecheza mechi tano imeshinda mechi tatu na kukusanya sare mbili ndani ya msimu wa 2021/22 na kinara wa utupiaji ni Meddie Kagere mwenye mabao mawili. Akizungumza na Spoti Xtra, Matola alisema kuwa…

Read More

REKODI ZA MAPROO YANGA NOMA

MAPROO wa Yanga wameweka rekodi yao matata kwa kuhusika kwenye mabao mengi ya timu hiyo jambo linalowaongezea mzigo wazawa kazi ya kufanya kwenye mechi ambazo watacheza kwa msimu wa 2021/22. Ikiwa imecheza mechi tano ambazo ni dakika 450, maproo hao wameonekana kufanya kazi kubwa kutimiza majukumu yao kuanzia kwenye safu ya ulinzi mpaka ushambuliaji jambo…

Read More

UNAI ATAJWA NEWCASTLE UNITED

UNAI Emery, Kocha Mkuu wa Villarreal amewaambia mabosi wa timu hiyo kwamba Klabu ya Newcastle United inaonekana kumuhitaji licha ya kwamba hawajapeleka ofa kwa wakati huu.   Kocha huyo inaelezwa kuwa atachukua nafasi ya aliyekuwa kocha wa Newcastle United, Steve Bruce ambaye alifungashiwa virago kwenye timu hiyo baada ya timu hiyo kupata wawekezaji wapya mwezi…

Read More

MSIMAMO WA LIGI KUU BARA BONGO

LIGI Kuu Tanzania Bara kwa sasa imezidi kuwa ya moto kutokana na kasi ya timu zote kusaka pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Mabingwa mara 27 Yanga bado ni namba moja wakiwa na pointi zao 15 wanafuatiwa na Simba wenye pointi 11 kibindoni na wote wamecheza mechi tanotano.

Read More