Home Sports KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA JWANENG GALAX

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA JWANENG GALAX

OKTOBA 24 leo kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes kinatarajiwa kuwa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Uwanja wa Mkapa dhidi ya Jwaneng Galaxy ambao utakuwa ni wa marudio.

Katika mchezo wa kwanza, Simba ilishinda mabao 2-0 hivyo leo ina kazi ya kulinda ushindi wake pamoja na kusaka ushindi ili kuongeza nafasi ya kutinga hatua ya makundi.

Hiki hapa kikosi ambacho kinatarajiwa kuanza ni kwa mujibu wa gazeti la Spoti Xtra Jumapili ambalo lipo mtaani leo kwa 500 tu:-

Aishi Manula

Pascal Wawa

Shomari Kapombe

Henock

Mohamed Hussein

Hassan Dilunga

Taddeo Lwanga

Rally Bwalya

Sadio Kanoute

John Bocco

Bernard Morrison

Previous articleAZAM FC SAFARI YAO KIMATAIFA YAKWAMIA MISRI
Next articleSALAH AGOMA KUSEPA LIVERPOOL