KAZI YA SIMBA MISRI IMEKAMILIKA, ZAWADI INARUDI BONGO

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wamekamilisha kambi yao nchini Misri kwa mafanikio wanarejea kuwapa furaha mashabiki wao. Agosti 3 itakuwa ni kilele cha Simba Day na tayari wamefanya uzinduzi wa uzi mpya ilikuwa Julai 24 2024, kwenye hifadhi za Mikumi, Morogoro. Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids ni mechi tatu za kirafiki ilicheza…

Read More

YANGA HESABU KWENYE FAINALI KIMATAIFA

BAADA ya kukamilisha mchezo wao wa hatua ya nusu fainali ya Azam Sports Federation msafara wa Yanga umerejea salama Dar wakianza hesabu kwenye mchezo wao wa kimataifa. Ni Mei 21 kikosi kilikuwa Uwanja wa Liti, Singida na ubao ulisoma Singida Big Stars 0-1 Yanga. Bao pekee la ushindi lilipachikwa kimiani na Fiston Mayele ambaye aliingia…

Read More

NYOTA MAN UNITED AWA MUUZA SAA

MANCHESTER, England NYOTA wa zamani wa Manchester United, Ramon Calliste ambaye alitamba utotoni na akina Cristiano Ronaldo na Wayne Rooney, ameliacha soka na kuwa muuza saa za kisasa. Calliste alikuwa akitajwa kama Ryan Giggs ajaye, alitamba katika timu ya vijana ya United. Hata hivyo, jeraha baya la enka alilopata mwaka 2006, lilimlazimisha astaafu soka mapema….

Read More

KIUNGO WA KAZI MKUDE KUIKOSA NAMUNGO KESHO

KIUNGO Jonas Mkude wa Simba kesha anatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mkude ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Juma Mgunda anatarajiwa kukosekana kutokana na kutokuwa fiti kiafya. Simba imetoka kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu kesho itakuwa na kazi ya kusaka…

Read More

DOTTO SHABAN BEKI PRISONS ANAAMINI WATABAKI LIGI KUU

KWENYE upande wa ukuta taratibu Tanzania inazidi kuwa imara ambapo kwenye timu ya taifa uhakika uwepo wa Bakari Mwamnyeto,Shomari Kapombe na Mohamed Hussein huku ngoma nzito ikiwa upande wa washambuliaji. Wakati tatizo la ushambuliaji likitafutiwa tiba,kuna kijana mwingine wa kazi katika eneo la ulinzi anaitwa Dotto Shaban yupo zake ndani ya kikosi cha Tanzania Prisons….

Read More

AFRICAN FOOTBALL LEAGUE SIMBA 0-1 AL AHLY

UKIWA ni mchezo wa ufunguzi wa African Football League, mashabiki wa Simba wameshuhudia namna mbinu za Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kikiwa nyuma. Dakika 45 ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma  Simba 0-1 Al Ahly Mtupiaji kwenye mchezo huo ambao una ushindani mkubwa kwa timu zote ni Reda Slim aliyetumia makosa ya safu ya ulinzi ya…

Read More

YANGA WAPANIA KUVUNJA REKODI

WAKIWA wameandika rekodi ya kutwaa mataji matatu msimu wa 2022/23 Yanga wameweka wazi kuwa wanajipanga kuvunja rekodi hiyo. Ni Ngao ya Jamii Yanga walitwaa kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba, walitwaa ligi na Azam Sports Federation kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa fainali, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga….

Read More

MWAMBA KIBWANA SHOMARI BADO YUPO YANGA

BADO yupoyupo sana ndani ya kikosi cha Yanga mwamba Kibwana Shomari ambaye ni mzawa baada ya kuongeza kandarasi nyingine. Yanga kupitia kwa Ofisa Habari Ali Kamwe walibainisha kwamba watafanya usajili bora utakaozingatia vigezo vya uwezo kwa wachezaji ili kuongeza ushindani ndani ya timu. “Kila mchezaji ana nafasi ya kuonyesha uwezo wake na tunaamini kwenye ubora…

Read More

MTAMBO WA MABAO SIMBA KUIKOSA ORLANDO PIRATES

MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Sima, Bernard Morrison kwenye mechi za kimataifa anatarajiwa kuukosa mchezo wa marudiano dhidi ya Orlando Pirates. Ni mabao matatu ambayo amefunga na kutoa pasi tatu na amesababisha penalti moja hivyo kahusika kwenye mabao 7 kati ya 17 ambayo yamefungwa na timu hiyo  katika mechi za kuanzia hatua ya…

Read More

AZAM FC YAIPIGA MKWARA SIMBA

KALI Ongala, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa hesabu kubwa kwa sasa ni mchezo wao wa hatua ya nusu fainali dhidi ya Simba. Taji hilo la Kombe la Azam Sports Federation mabingwa watetezi ni Yanga ambao nao wametinga hatua ya nusu fainali. Itacheza na Singida Big Stars Uwanja wa Liti na mshindi wa mchezo…

Read More

NGAO YA JAMII KUPIGWA TANGA

RAIS wa Shirikisho la Mpirawa Miguu Tanzania, (TFF) Wallace Karia amesema shindano la Ngao ya Jamii ambalo linategemea kuhusisha timu 4 ambazo ni Simba, Yanga, Azam na Singida Fountain Gate litafanyika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Karia amesema: “Kwenye Ngao ya Jamii ambayo msimu huu zitachezwa mechi tatu, mbili za Nusu Fainali na moja ya Fainali,…

Read More