
PRISON WATENGA MECHI ZA USHINDI
KOCHA Msaidizi wa Tanzania Prisons, Shaban Kazumba ameweka wazi kwamba mechi nne zijazo mbele zitawafanya warudi kwenye ubora wao. Timu hiyo kwa sasa inatumia Uwanja wa Sokoine kama ilivyokuwa ikifanya zamani baada ya kuhamia Uwanja wa Nelson Mandela, Songea wakati walipokuwa kwenye maboresho ya kambi yao. Prisons ipo kwenye mwendo wa kusuasa msimu wa 2021/22…