
BAYERN YATUMA WAFANYIKAZI WAWILI NCHINI RWANDA
Mkurugenzi Mtendaji wa Bayern Munich Jan-Christian Dreesen alithibitisha kwa kwamba klabu hiyo inafuatilia hali jinsi ilivyo nchini DR Congo. Bayern imetuma wafanyikazi wawili nchini Rwanda baada ya kupokea ukosoaji kwa udhamini wao wa Visit Rwanda. Tangu Agosti 2023, Bayern Munich imekuwa na Visit Rwanda kama mfadhili, mpango wa ofisi ya utalii ya Rwanda. Mwishoni mwa…