
VIONGOZI FANYENI KAZI YENU ISHU YA UMAARUFU NI WACHEZAJI
INAWEZEKANA ikawa kama miaka saba au nane iliyopita niliibuka na hoja ya suala la viongozi wanaoingia kwenye mchezo wa soka, kuacha kuutumia kwa sababu ya ndoto zao za kisiasa pekee. Niliwaeleza viongozi wa mlengo huo kuwa walikuwa hawafanyi sahihi kwa kuingia kwenye mchezo wa soka, kuongoza kwa lengo la kuja kuwa wabunge au mawaziri hapo…