BAYERN YATUMA WAFANYIKAZI WAWILI NCHINI RWANDA

Mkurugenzi Mtendaji wa Bayern Munich Jan-Christian Dreesen alithibitisha kwa kwamba klabu hiyo inafuatilia hali jinsi ilivyo nchini DR Congo. Bayern imetuma wafanyikazi wawili nchini Rwanda baada ya kupokea ukosoaji kwa udhamini wao wa Visit Rwanda. Tangu Agosti 2023, Bayern Munich imekuwa na Visit Rwanda kama mfadhili, mpango wa ofisi ya utalii ya Rwanda. Mwishoni mwa…

Read More

NAMNA MWAMBA PACOME ALIVYOWAVURUGA WAARABU

MWAMBA Pacome Zouzoa kiungo wa Yanga aliwavuruga Waarabu wa Algeria CR Belouizdad kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa Uwanja wa Mkapa kutokana na kasi yake na pasi za uhakika akitumia zaidi mguu wake wa kulia. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 4-0 CR Belouizdad katika mchezo…

Read More

SINGIDA BLACK STARS KULETA USHINDANI KITAIFA

UONGOZI wa Singida Black Stars umeweka wazi kuwa malengo makubwa ni kuleta ushindani kitaifa kutokana na usajili makini waliofanya pamoja na uzi mzuri kuliko timu zote Bongo kuwa mali yao kwa msimu wa 2024/25. Timu hiyo inanolewa na Kocha Mkuu, Patrick Aussems wengi hupenda kumuita Uchebe aliwahi kuifundisha Simba inayoshiriki Ligi Kuu Bara na mafanikio…

Read More

AZAM FC WANA JAMBO LAO

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Yusuph Dabo amesema kuwa wanatambua ushindani ni mkubwa watazidi kupambana kwa kuwa wana jambo lao kila mchezouliopo mbele yao wakihitaji kufanya vizuri. Azam FC kwenye mechi mbili mfululizo iliambulia sare ilikuwa dhidi ya Tabora United na Tanzania Prisons. “Tupo imara kwenye mechi ambazo tunacheza na malengo yetu ni kuona kwamba…

Read More

SIMBA NDANI YA BERKANE

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco leo Februari 26 kimewasili salama mji wa Berkane. Safari ya kuibukia Berkane ilianza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mohammed V uliopo Casablanca. Simba ina kibarua cha kumenyana na Klabu ya RS Berkane katika mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi, kesho Februari 27….

Read More

LUIS, SIMBA SUALA LA MUDA

KLABU ya Simba, ipo kwenye wakati mzuri wa kumrudisha kikosini hapo kiungo mshambuliaji raia wa Msumbiji, Luís Jose Miquissone kutoka Al Ahly ya Misri. Hiyo ni baada ya Luis kuwa na wakati mgumu ndani ya Al Ahly tangu alipojiunga na timu hiyo Agosti 26, 2021 akisaini mkataba wa miaka minne akitokea Simba. Baada ya Al…

Read More

AZAM FC WALIPIGIA HESABU KOMBE LA YANGA

CHINI ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo kikosi cha Azam FC kinatarajiwa kushuka Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kuwania tiketi ya kutinga hatua ya fainali dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Hesabu kubwa za Azam FC ni kupata ushindi kwenye mchezo huo ili kutwaa taji la CRDB Federation Cup ambalo lipo mikononi mwa Yanga. Ikumbukwe kwamba…

Read More

YANGA YATOA TAMKO ZITO CAF, WATAKA KUWEKA HISTORIA MPYA

KUELEKEA mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, uongozi wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, Yanga umechimba mkwara mzito kwa kusema tayari umeanza kufanya maandalizi mazito ya ndani na nje ya uwanja kuhakikisha wanaandika rekodi ya kufika mbali katika michuano hiyo. Yanga tayari imekata tiketi ya uwakilishi wa Tanzania katika michuano ya…

Read More

ARSENAL WASHINDA DARAJANI SASA NI NAMBA MOJA

WAKIWA Uwanja wa Stamford Bridge, Arsenal wamesepa na pointi tatu jumlajumla kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Chelsea. Bao pekee la ushindi limefungwa kipindi cha pili baada ya dakika 45 za mwanzo ngoma kuwa nzito kwa wote. Ni Gabriel amepeleka furaha Arsenal kwa kupachika bao hilo dakika ya 63 na kuwafanya mashabiki kushangilia kwa…

Read More

SIMBA:TUTASHINDA MBELE YA RS BERKANE,WATANZANIA MTUOMBEE

BARBARA Gonzalez, Mtendaji Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari wa ajili ya mchezo wao dhidi ya RS Berkane ya Morocco unaoatarajiwa kuchezwa Jumapili na wanaamini kwamba watashinda. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco, Februari 27 inakibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya RS Berkane kwenye mchezo wa hatua ya makundi wakiwa katika kundi…

Read More

KUMBE! SIMBA WANASHINDA LAKINI HAWANA FURAHA

AHMED Ally, meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa wanashinda lakini hawana furaha kwa kuwa bado wanatengeneza timu hiyo. Mchezo wa kwanza wa Simba katika Ligi Kuu Bara ilikuwa dhidi ya Tabora United uliochezwa Uwanja wa KMC, baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 3-0 Tabora United kwa msimu wa 2024/25…

Read More

JACPOT YA SPORTPESA BILIONI YATOLEWA KWA MSHINDI

MSHINDI wa Jacpot Florian Valerian Massawe amekabidhiwa mfano wa hundi ya Bilioni 1,255,316,060/ na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Tarimba Abbas. Ni leo Mei 18 mshindi huyo amekabidhiwa katika ofisi za Sportpesa mbele ya mwakilishi kutoka TRA, Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Michezo ya Kubahatisha  pamoja na mke wa mshindi Lightness Florian Massawe. Mshindi huyo amesema…

Read More