LUIS KAZI YAKE IPO HIVI MAPINDUZI 2024
KIUNGO wa Simba, Luis Miquissone ni habari nyingine ndani ya Mapinduzi 2024 kutokana na kuwa na zali la kuhusika kwenye miguso iliyoleta mabao katika timu hiyo. Ni pasi tatu za mabao katoa na kufunga bao moja. Januari Mosi dhidi ya JKU alifanya kweli kwa kutengeneza pasi mbili za mabao ile ya kwanza alimpa Moses Phiri dakika…