
INONGA AUZWA SH 520MIL FAR RABAT
KLABU ya Simba imevuna zaidi ya Dola 200,000 (zaidi ya Shilingi 520Mil kwa kumuuza beki wa kati, Henock Inonga. Henock Inonga kauzwa FAR RABAT
KLABU ya Simba imevuna zaidi ya Dola 200,000 (zaidi ya Shilingi 520Mil kwa kumuuza beki wa kati, Henock Inonga. Henock Inonga kauzwa FAR RABAT
Mlinda Mlango wa Guinea amekamatwa na Polisi wa Uswisi baada ya kukutwa na cocaine ikiwa ni baada ya kuhudhuria chakula cha jioni ambapo Aly Keita alidaiwa kunywa divai na baadaye dawa za kulevya. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Guinea pia anashukiwa kwa utakatishaji fedha ya kiasi cha Euro 50,000 Aly Keita alikanusha taarifa hizo akitangaza…
Huna haja ya kujiuliza kuwa utapiga wapi mpunga siku ya leo, wewe ingia tuu Meridianbet kwani hapa utakutana na mechi kibao zinazopigwa ambapo utachagua timu zako za ushindi na ubashiri hapa. Michuano ya COPA AMERICA leo hii saa saba usiku ndani ya kundi A, Peru ambaye ametoka kutoa sare mchezo wake wa kwanza, leo watakipiga…
Expanse Kasino IMEITIKA!!! Binadamu yeyote lazima anakuwa na ndoto kubwa katika maisha yake, lakini wengi wana ndoto ya kumilika pesa nyingi ili waishi vizuri, Iko hivi chimbo ni moja tu Meridianbet kasino ya mtandaoni, kuna michezo ya Expanse muda wowote inakupa utajiri. Jisajili hapa kufukuzia ndoto zako kirahisi huhitaji uwe na mtu wa kati (Connection)….
Meneja wa Beki wa Yanga, Bakaro Mwamnyeto amefunguka kuwa Klabu ya Simba Sc imetuma Ofa Nono kwaajili ya kuinasa saini ya Mwamnyeto. View this post on Instagram A post shared by Sports Arena (@sportsarena88.9)
Kasino imejaa utajiri! Moja ya michezo inayoweza kukupa hela kubwa leo, ni mchezo wa namba unaofanya vizuri madukani na kwenye kasino ya mtandaoni, mchezo huu wa kasino unaitwa Hot Keno. Jisajili hapa ili uwe Milionea kwa dau lako dogo tu. Mchezo wa Hot Keno ni mchezo wa kasino ya mtandaoni wa Meridianbet uliotengenezwa na EGT…
Mchambuzi wa michezo nchini @salehjembefacts amefanya mahojiano na Global Tv na kudai kuwa tetesi za Chama kuondoka Simba hata yeye anazisikia ila kiutaratibu mashabiki wanapaswa kungoja tamkoa rasmi la Klabu husika.
Wakali wa ubashiri Tanzania nzima Meridianbet wanakwambia hivi, wakati huu ndio wako wa kutusua mapene na mechi hizi za EURO na COPA AMERICA. Usisubiri kuhadithiwa ingia na ujaribu bahati yako. Didier Deschamps na France yake wataumana dhidi ya Poland ambao ndio vibonde wa kundi D wakiwa hawajashinda mechi hata moja mpaka sasa. Meridianbet wamempa nafasi…
NGOMA ni nzito kwa mabosi wa Simba dhidi ya kiungo mshambuliaji Clatous Chama kuhusu ishu ya kuongeza mkataba mpya ndani ya kikosi hicho. Kiungo huyo msimu wa 2023/24 alotupia mabao saba na pasi sita za mabao mkataba wake umegota mwisho na hajaongeza dili jipya kutokana na kinachoelezwa kuwa anahitaji mshahara wa zaidi ya milioni 30….
Rais wa klabu ya @yangasc Mhandisi Hersi Said @caamil_88 amempokea Mgeni wake Achraf Hakimi @achrafhakimi katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Mchezaji huyo kutoka katika Klabu ya Paris Saint German (PSG) ya nchini Ufaransa ameambatana na rafiki zake saba atakuwa nchini kwa wiki moja huku wakitembelea vivutio mbali mbali vya utalii nchini.
Klabu ya Azam FC imetangaza kuachana na nyota wake WANNE ambao ni pamoja na Ayoub Lyanga, Edward Manyama, Malickou Ndoye na Issa Ndala ambao mikataba yao klabuni hapo imefikia ukomo. Taarifa ya Azam Fc kwenye mitandao ya kijamii imesema: “Ahsanteni sana kwa mchango wenu wa kuipigania nembo ya klabu yetu kwa kipindi chote mlichokuwa nasi….
Milioni 2,500,000/= TZS zipo zinakusubiri leo hii kwa kucheza kasino, michezo ya Expanse iliyopo Meridianbet Kasino ya Mtandaoni. Washindi 40 kujizolewa bonasi za kasino na Ushindi wa Mamilioni. Jisajili sasa ujipatie ushindi wako. Michezo ya Kasino inaweza kukufanya uwe tajiri, ambapo Meridianbet watatoa bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa na alama nyingi…
Semaji Ahmed Ally ameweka wazi tarehe rasmi ya kuanza maandalizi ya msimu (Pre Season)
Afisa Habari wa Simba SC, Ahmed Ally amesema Klabu ya Simba inatarajia kuweka kambi nchini Misri katika Mji wa Ismailia kwa ajili ya kujiandaa katika kuelekea msimu mjao wa mashindano (pre season) mwanzoni mwa mwezi Julai.
Timu ya taifa ya Ureno imetinga hatua ya 16 bora ya kombe la Mataifa Ulaya, EURO 2024 kufuatia ushindi wa 3-0 dhidi ya Uturuki katika dimba la Signal lduna Park (Dortmund). FT: Uturuki 0-3 Ureno ⚽ Silva 22’ ⚽ Akaydin (og) 29’ ⚽ Bruno 56’ MSIMAMO KUNDI F ?? Portugal — mechi 2 — pointi…
Timu ya taifa ya Ubelgiji imeweka hai matumaini ya kufuzu hatua ya 16 bora baada ya kuitandika Romania 2-0 katika mchezo wa raundi ya pili wa Kundi E uliopigwa katika dimba la RheinEnergieStadion (Cologne). FT: Ubelgiji ?? 2-0 ?? Romania ⚽ Tielemans 2’ ⚽ De Bruyne 80’ Kundi E bado ni ngoma ni ngumu, kila…
Kwa mara nyingine Meridianbet wamefanikiwa kufika wilaya ya Kibaha na kutoa msaada katika eneo hilo katika makundi mbalimbali ya kijamii. Wababe hao wa michezo ya kubashiri wameendelea kuhakikisha wanarudisha kwa jamii yao inayowazunguka, Ambapo wamefanikiwa kuwagusa makundi mawili ya kijamii ambapo wametoa msaada familia duni pamoja watu wenye ulemavu wa ngozi (Ualbino) Mabingwa hao wa…