KOCHA AZAM FC KUKUTANA NA THANK YOU

INAELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Azam FC inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwenye mechi za nyumbani Rachid Toussi atakutana na Thank You baada ya msimu wa 2024/25 kugota mwisho na mabosi wat imu hiyo wameshafanya maamuzi. Taarifa zinaeleza kuwa Azam FC wanasubiri msimu uishe kwa mechi mbili ambazo zimesalia kukamilisha msimu ambapo watakuwa na mchezo…

Read More

MAMILIONI YANAKUSUBIRI MASHINDANO YA ENDORPHINA

Habari njema kabisa kwa wateja ambao wanashiriki michezo ya Kasino ya mtandaoni imefika leo. Ni mashindano ya Endorphina ambayo yanakupa nafasi ya kipekee ya kushinda mamilioni ya pesa yaani namaanisha kuanzia Milioni 20. Jiunge na Meridianbet utusue kibabe. Mashindano haya ya Endorphina yameanza toka jana tarehe 12 na mwisho wake utakuwa ni tarehe 22 Juni…

Read More

JEMBE SPORTS YOU TUBE YAPEWA TUZO MAALUMU

SHUKRANI kubwa kwa watazamaji na wafuatiliaji wa mtandao wa Jembe Sports kwa kuwa ni watu muhimu kila wakati jambo lililopelekea tuzo maalumu kutoka kwa You Tube. Kwenye ukurasa wa You Tube wa Jembe Sports ni watazamaji zaidi ya laki moja wapo na watu ambao wamebofya kile kitufe cha kuifuata You Tube ya Jembe Sports ni…

Read More

DAU DOGO SHINDA MAMIA YA EURO NA SPIN-O-MANIA

Meridianbet inakukaribisha kujichukulia Mamia ya Euro kwenye promosheni kali ya Spin-O-Mania ambayo inaendelea hivi sasa. Huhitaji dau kubwa kushiriki kwenye shindano hili la dhahabu ambalo litakupa ushindi mkubwa leo. Mashindano haya ya Spin-O-Mania yalianza toka tarehe 05 mwezi Juni na mwisho itakuwa ni tarehe 29 Juni ambapo zawadi na pesa zitakbidhiwa kwenye akaunti za wachezaji…

Read More

MUKWALA HESABU ZAKE NDEFU SIMBA SC

MSHAMBULIAJI wa Simba SC Steven Mukwala hesabu zake ni ndefu kwenye kikosi hicho ambacho kinanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids katika mechi za ushindani. Mukwala ameweka wazi kuwa mpango mkubwa ni kuona timu hiyo inapata matokeo chanya kwenye mechi ambazo wanacheza ndani ya uwanja msimu wa 2024/25. Mshambuliaji huyo anaingia kwenye orodha ya wakali wakucheka…

Read More

YANGA SC YAGOMEA KIKAO, WANATAKA HELA YA UBINGWA TU

CLIFORD Ndimbo, Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) amesema kuwa Yanga SC wamegoma kuongea na kuacha barua licha ya kuitwa na Katibu Mkuu Wilfred Kidao. Juni 10 2025 TFF walitoa taarifa kuhusu ufafanuzi wa fedha za malipo ya zawadi ya bingwa wa CRDB Federation Cup ambazo Yanga SC walibainisha kuwa hawajapewa na katika…

Read More