
AHOUA ALIYEKOSA NAFASI YA DHAHABU KIMATAIFA YUPO KAMILI
KIUNGO mshambuliaji wa Simba Ahoua kwenye mchezo dhidi ya Stellenbosch FC alipata maumivu ya nyama za misuli dakika ya 86 alirejea uwanjani kukamilisha dakika nne zilizobaki. Kwenye mchezo huo akiwa ndani ya 18 na mpira alikosa nafasi ya wazi dakika ya 90 kwa shuti lake kwenda nje ya lango baada yakupewa pasi kutoka kwa nyota…