U 17 WAMEANZA MWENDO,WAUNGWE MKONO

HATUA moja kila wakati tunaona kwa timu ya Taifa ya Wanawake chini ya Miaka 17 kwa namna ambavyo wanafanya vizuri kwenye mechi za kuwania Kufuzu Tiketi ya Kombe la Dunia. Pongezi kwa Serengeti Girls baada ya kuweza kupata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Burundi mchezo uliochezwa Uwanja wa Urukundo,Ngozi nchini Burundi. Haukuwa mchezo mwepesi…

Read More

MKATABA WA GSM NA TFF UNACHUNGUZWA

TUME ya Ushindani wa Biashara (FCC) imesema imepokea malalamiko kutoka kwa wadau wa mpira wakiitaka kuchunguza udhamini uliofanywa na kampuni ya GSM kwa Ligi Kuu ya NBC kama hautaathiri ushindani wa soka nchini.   Wadau hao wamewasilisha malalamiko yao kwa maandishi ndani ya tume hiyo Jumatatu ya Novemba 29, 2021 wiki hii kwa mujibu wa…

Read More

VIDEO:BEKI YANGA:HAKUNA KAMA OKWI

BEKI wa zamani wa kikosi cha Yanga, Nadir Haroub, ‘Canavaro’ ameweka wazi kuwa kwa zama ambazo alikuwa akicheza yeye mpira wa ushindani bado hajaona ambaye ameweza kumfikia nyota wa zamani wa Simba Emanuel Okwi. Canavaro amebainisha kwamba hawezi kusema maneno mengi zaidi ya kusema kwamba hakuna kama Okwi.

Read More

KMC WAIVUTIA KASI GEITA GOLD

WATOTO wa Kinondoni, KMC wameanza mazoezi kwa ajili ya mechi zijazo za Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili 2022/23. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Hitimana Thiery kituo chake kinachofuata ni dhidi ya Geita Gold. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 11 ambapo awali ulitarajiwa kuchezwa Aprili 17ambapo KMC itakuwa nyumbani. Miongoni mwa nyota wa KMC…

Read More

SIMBA NDANI YA DAR,HESABU ZIPO HIVI

KIKOSI cha Simba chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kimerejea salama salmin Dar kwa ajili ya maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara. Timu hiyo imebakiza mechi tatu ndani ya ligi baada ya kucheza mechi 27 na kukusanya pointi 64. Vinara wa ligi ni Yanga ambao wao kibindoni wana jumla ya pointi 71 nao wana…

Read More

MBRAZILI SIMBA AMPA BALEKE SAA 48

KIKOSI cha Simba jana Jumanne kilirejea kambini baada ya mapumziko ya siku moja, huku Kocha Mkuu Mbrazili, Robert Olvieira ‘Robertinho’ akitenga programu ya siku mbili sawa na saa 48, kwa mastaa wote akiwemo straika Jean Baleke. Lengo ni kuhakikisha Simba wanaibuka na ushindi dhidi ya Coastal Union na kukata tiketi ya kucheza robo fainali ya…

Read More

CHAMA AOMBA KURUDI BONGO

KUFUATIA ugumu wa maisha anaokutana nao katika timu ya RSB Berkane ya nchini Morocco, kiungo wa zamani wa Simba, raia wa Zambia, Clatous Chota Chama, sasa rasmi ameomba kurudi kwa mabosi wake wa zamani Simba. Chama aliachana na Simba, mwishoni mwa msimu ulipita akijiunga katika klabu ya RSB Berkane ya Morocco kwa mkataba wa miaka mitatu, akiwa sambamba na winga wa zamani wa Yanga, raia wa DR Congo, Tuisila…

Read More

MASTAA HAWA OUT YANGA, KUIKOSA AL HILAL KIMATAIFA

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa kimataifa dhidi ya Al Hilal unaotarajiwa kuchezwa Jumapili ya Januari 12 2025 nchini Mauritania Yanga kutoka Tanzania itawakosa wachezaji watatu kwenye uwanja kwa kuwa hawapo kwenye mpango wa benchi la ufundi. Ni Uwanja wa de la Capitale watashuka Yanga chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic kusaka pointi…

Read More

AZAM KUKIWASHA LEO MISRI KWA MARA YA KWANZA

AZAM FC leo wanatarajia kucheza mchezo wa kirafiki wakiwa nchini Misri ambao ni maalumu kwa ajili ya benchi la ufundi kutazama namna vijana wao walivyoweza kuwa imara. Huu unakuwa ni mchezo wa kwanza kwa Azam FC ambayo inatarajiwa kutumia siku 20 ikiwa Misri kwa maandalizi ya msimu mpya. Kocha Mkuu wa Azam FC,Abdi Hamid Moallin…

Read More

KOCHA WA MANULA APATA DILI AFRIKA KUSINI

SIMBA ipo kwenye mchakato wa kusaka kocha mpya wa makipa baada ya Tyron Damons kupata dili jipya nchini Afrika Kusini. Taarifa rasmi kutoka Simba imeeleza kuwa kwa hatua ambayo wamefikia wanamshukuru kocha huyo hivyo watasaka mbadala wake kwa ajili ya kuwa kwenye kikosi hicho.  “Klabu ya Simba inamtakia kila la heri kocha wa magoli kipa…

Read More