NGAO YA JAMII KUPIGWA TANGA

RAIS wa Shirikisho la Mpirawa Miguu Tanzania, (TFF) Wallace Karia amesema shindano la Ngao ya Jamii ambalo linategemea kuhusisha timu 4 ambazo ni Simba, Yanga, Azam na Singida Fountain Gate litafanyika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Karia amesema: “Kwenye Ngao ya Jamii ambayo msimu huu zitachezwa mechi tatu, mbili za Nusu Fainali na moja ya Fainali,…

Read More

KMC HAWANA JAMBO DOGO, HIKI WANAKITAFUTA

 UONGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa unahitaji kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara ulio mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. KMC chini ya Kocha Mkuu, Hitimana Thiery imekusanya pointi 13 baada ya kucheza mechi 8 za ligi, imeshinda tatu, sare nne na imepoteza mchezo mmoja ikiwa nafasi ya tatu.  Christina Mwagala, Ofisa…

Read More

CHAMA, BWALYA WAMPA KOCHA KOCHA SIMBA JEURI

UWEZO mkubwa ambao umeonyeshwa na kikosi cha Simba hususani viungo wao raia wa Zambia, ClatousChama na Rally Bwalya kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam dhidi Dar City umemuibua kocha mkuu, Pablo Franco ambaye ameweka wazi kuwa hawatakata tamaa kuhusu ubingwa wao na watapambana kushinda kila mchezo ulio mbele yao.   Simba Januari 30,…

Read More

KIUNGO SIMBA AKUBALI KUSAINI YANGA

NICHOLAS Gyan kiungo wa zamani wa Klabu ya Simba ambaye kwa sasa anakipiga ndani ya kikosi cha DTB kinachoshiriki Championship amesema kuwa hana tatizo ikiwa Yanga watampa ofa yeye atasaini kwa kuwa mpira ni kazi yake. Novemba 29 Gyan aliweza kufunga bao lake la kwanza akiwa na timu yake ya DTB kwenye mchezo dhidi ya…

Read More

KARIAKOO DABI HII HAPA KITAWAKA

ZINAHESABIWA siku kwa sasa kutokana na tarehe kuwa wazi kwa kuwa tayari imeshapangwa na taarifa kwa kila timu zimefika mahali pake kwa mujibu wa taarifa. Ikumbukwe kwamba Yanga na Simba walikuwa na kazi kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wamegotea wote hatua ya robo fainali. Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza tarehe ya mchezo wa…

Read More

AZAM FC NDANI TUNISIA

KIKOSI cha Azam FC kimewasili jijini Sousse, Tunisia kwa kambi ya wiki tatu ya maandalizi ya msimu mpya 2023/24. Miongoni mwa nyota ambao wapo kwenye msafara huo ni pamoja na Feisal Salum, Ayoub Lyanda, Idris Mbombo. Timu hiyo ilipitia Dubai kabla ya kuibukia Tunisia kwa maandalizi ya msimu mpya. Mchezo wa kwanza kwa Azam FC…

Read More

BEKI WA ORLANDO PIRATES AKIMBIZWA HOSPITALI

BEKI wa Orlando Pirates, Paseka Mako alikimbizwa Hospitali kupewa huduma jana Aprili 12 baada ya kupata majeraha walipogongana na kipa Richard Ofori kwenye mchezo wa DStv Premiership dhidi ya Baroka FC uliochezwa Uwanja wa Peter Mokaba. Ilikuwa ni kwenye muda wa nyongeza ambapo beki huyo aliweza kugongana na mchezaji mwenzake ambaye ni kipa Ofori aliyekuwa…

Read More

SIMBA KUIVAA RAJA CASABLANCA LEO

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya Raja Casablanca ni leo Machi 31 nchini Morocco. Mchezo huo unachezwa Morocco ikiwa ni Machi 31 lakini Tanzania itakuwa ni Aprili Mosi 2023. Ni mchezo wa mwisho hatua ya makundi kwa timu hizi mbili ambazo zote zimetinga hatua ya robo fainali. Simba inakumbuka mchezo…

Read More