KIUNGO MGUMU AMPA TABASAMU MGUNDA SIMBA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kurejea kwa kiungo wake wa kazi Sadio Kanoute kwenye kikosi hicho kunaongeza uwanda mkubwa wa kuchagua viungo ambao anawahitaji. Kanoute raia wa Mali ambaye ni kiungo mgumu kwenye eneo la ukabaji sifa yake kuu ni kutembeza mikato ya kimyakimya alikosekana kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Tanzania…

Read More

MILIONI TANO YAPATA MWENYEWE MERIDIANBET

Bashiri na kitochi au bashiri bila bando na Meridianbet ikifahamika kama USSD leo imefanikiwa kutoa mshindi ambaye amejishindia mzigo wa kutosha ambapo mshindi amejipigia kiasi cha shilingi 5,982,539.  Inafahamika kua Meridianbet inatoa fursa kwa wateja wake kubashiri kwa bando kwa maana ya kwenye tovuti yao lakini pia unaweza kubashiri bila bando na ndio USSD ambapo…

Read More

TFF Yaruhusu Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Kutumika Kwa Michezo ya Ligi Baada ya Marekebisho

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeruhusu uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, uliopo mkoani Tabora, kutumika kwa michezo ya Ligi baada ya kufanyiwa marekebisho yaliyokidhi viwango vya kikanuni na kisheria vya mpira wa miguu. Awali, uwanja huo ulikuwa umefungwa kutokana na miundombinu yake kutokidhi vigezo vilivyowekwa katika masharti ya Kanuni na Leseni za Klabu…

Read More

MSHAMBULIAJI WA SIMBA AKUBALI UWEZO WA MAYELE,AMPA TUZO

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba ambaye hivi sasa anacheza Kagera Sugar, Mganda, Hamis Kiiza ‘Diego’amesema kuwa Fiston Mayele mshambuliaji wa Yanga ana uwezo mkubwa wa kucheza na kufunga. Kiiza aliyewahi kuichezea Yanga kabla ya kwenda Simba, alitoa kauli hiyo mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Kagera Sugar uliochezwa Februari 27,2022….

Read More

YANGA WANA BALAA HAO, SIRI HII HAPA

NDANI ya Ligi Kuu Bara Yanga ni baba lao kutokana na kasi yao ya kusaka matokeo kwenye mechi za Ligi Kuu Bara ikiwa inaongoza ligi baada ya kucheza jumla ya mechi ambazo wanacheza. Mchezo wao uliopita kwenye ligi ilikuwa dhidi ya Kagera Sugar ambao ni mzunguko wa pili ulichezwa Uwanja wa Azam Complex, baada ya…

Read More

Shirikisho la soka la Nigeria Lakanusha taarifa za Osimhen na Adams kuondoka kambini

Shirikisho la soka la Nigeria limekanusha ripoti zinazodai kuwa Wachezaji wawili Victor Osimhen na Akor Adams kuwa wameondoka kwenye kambi ya Super Eagles nchini Morocco katika Mashindano ya AFCON. Shirikisho pia limetupilia mbali madai ya kuwepo kwa mpasuko kati ya Osimhen na Ademola Lookman. Limeeleza kuwa masuala yaliyotokana na mabishano ya Uwanjani wakati wa mechi…

Read More

SIMBA NDANI YA DAR WAKITOKA KUPAMBANA NA WAARABU

MSAFARA wa Simba uliokuwa na jumla ya wachezaji 24 umewasili salama Dar ukitokea Misri ulipokuwa kwa ajili ya mchezo wa African Football League. Ni mapambano ya dakika 90 dhidi ya Waarabu wa Misri ilikuwa kwenye mchezo wa kuamua nani atakayetinga hatua ya nusu fainali kimataifa. Oktoba 24, ubao ulisoma Al Ahly 1-1 Simba. Kwenye hatua…

Read More

NYONI ATUMA UJUMBE SIMBA

KIRAKA ndani ya kikosi cha Namungo, Erasto Nyoni ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba. Nyoni ameibuka ndani ya Namungo msimu wa 2023/24 baada ya kupewa Thank You ndani ya kikosi cha Simba. Leo Novemba 9 2023 Simba inatarajiwa kumenyana na Namungo ikiwa ni mchezo wa…

Read More

HAWA HAPA WAMEBEBSHWA KAZI NA KOCHA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazil, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewaambia wachezaji wake wapya kuwa sasa ni muda wao muafaka wa kuonyesha thamani yao katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba inatarajiwa kuanzia ugenini nchini Zambia dhidi ya Power Dynamos katika hatua ya pili ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mchezo utakaopigwa Septemba 15, mwaka huu. Kikosi…

Read More

STARS KAMILI KUIVAA SOMALIA LEO

 KIM Poulsen Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo kuwania kufuzu kuwania fainali za CHAN unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ni Somalia watakuwa wenyeji kwenye mchezo wa leo na mchezo wa pili unatarajiwa kuchezwa Julai 30 ambapo Tanzania watakuwa wenyeji. Mshindi wa…

Read More

OGOPA MAPAPELI SALAH HAUZWI

JURGEN Klopp amesema kuwa Liverpool bado hawajapokea ofa kutoka Saudi Arabia kwa ajili ya Mohamed Salah, huku akisisitiza kuwa staa huyo ambaye amejitolea kwa 100% klabuni hapo hauzwi. Salah, 31, anawavutia mabingwa wa Saudi Pro League, Al Ittihad, ambao wanaripotiwa kuandaa dau la pauni milioni 100 ili kumng’oa Anfield majira haya ya joto. Hata hivyo…

Read More