
KINZUMBI ATAJA SABABU ZA KUSAINI YANGA, MGUNDA AACHIWA MSALA
Kinzumbi ataja sababu 3 kusaini Yanga,Mgunda aachiwa msala wa Yanga ndani ya Championi Jumatatu
Kinzumbi ataja sababu 3 kusaini Yanga,Mgunda aachiwa msala wa Yanga ndani ya Championi Jumatatu
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Muivory Coast, Aubin Kramo ametaja siku atakayorejea kuichezea timu hiyo, huku akiahidi kuifanyia makubwa. Kiungo huyo yupo nje ya uwanja muda akiuguza majeraha ya goti ambayo alifanyiwa operesheni. Nyota huyo alifanyiwa operesheni hiyo nchini Afrika Kusini baada ya Madaktari kushauri. Akizungumza na Championi Jumamosi, Kramo alisema kuwa rasmi anatarajiwa kurejea uwanjani…
CLATOUS Chama,mwamba wa Lusaka ametupia bao pekee la ushindi mbele ya Mbeya Kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ni bao la kwanza kwa Chama akipachika bao hilo akitokea benchi alipokuwa akisoma mchezo. Ni dakika ya 85 mpira ulijazwa kimiani na kufanya mashabiki wa Simba kunyanyuka jukwaani. Unakuwa mchezo wa pili kwa Simba kushinda bao…
SIMULIZI ya mzazi aliyekuwa na tatizo la afya baadaye akarejea kwenye ubora Ama kwa hakika kila mtu hufurahia kuona wapendwa wao wakiishi kwa amani na wenye afya kila siku. Hali ilikuwa tofauti kwetu kwani mama mzazi alikuwa katika hali mbaya ya kifafa ambayo kila mara ilitukosesha usingizi kama wanawe. Kwa jina ni Kamau kutoka Nyamira….
YANGA imetinga hatua ya 16 bora Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa mabao 70-0 dhidi ya Rhino FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Vijana wa Rhino Rangers wameshuhudia mabao hayo dakika ya 7 kupitia kwa Dickson Ambundo, Kennedy Musonda dakika ya 15, Aziz KI dakika ya 19, Yannick Bangala dakika ya 26 n kiungo…
OMAR Abdikarim Nasser amesaini dili la miaka mitatu kuwa Kocha Msaidizi mpya wa Klabu ya Azam FC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Januari 29 alitambulishwa rasmi kuwa ni mali ya timu hiyo inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi zao za nyumbani. Kwa mujibu wa Azam FC wamebainisha kwamba ujio wake ni pendekezo la Kocha…
KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Azam FC mchezo wa Fainali Kombe la Mapinduzi
Unaweza kuufungua mwaka kibabe kabisa kwa kushinda kitita cha milioni moja kupitia shindano la Expanse linalohusisha michezo ya kasino, Cheza michezo ya kasino ya Expanse kupitia Meridianbet uweze kuufungua mwaka shangwe. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja taslimu, Shindano hili…
WAKATI ukurasa ukifungwa kwa Yanga kuimaliza KMC Uwanja wa Mkapa ulipigwa mpira wa darasani huku wachezaji wakitembezeana mikasi ya kishkaji katika msako wa pointi hizo. Ubao ulisoma Yanga 2-0 KMC ilikuwa ni Machi 19 na waliofanya iwe hivyo ni Matheo Anthon dk ya 39 kwa bao la kujifunga na Djuma Shaban ilikuwa dk ya 51….
LEO Agosti 7,2022 washindi wa pili ndani ya Ligi Kuu Bara,Simba wamezindua uzi wao mpya ambao utatumika kwa msimu wa 2022/23. Ni Sinza,madukani ilipo ofisi ya mdhamini wa Simba, Fred Vunjabei uzinduzi huo umeweza kufanyika. Pia VunjaBei ametambulisha logo (chapa) mpya itakayotumika kutambulisha mavazi ambayo atakuwa anayazalisha kuanzia sasa, na kwa mara ya kwanza logo…
UONGOZI wa Yanga chini ya Rais Eng Hersi Said, Benchi la ufundi na wachezaji leo Januari 7 2023 wamemtembelea Mama Fatma Karume pamoja na wajumbe wa Bodi ya Wadhamini na kuwakabidhi makombe manne waliyoshinda mwaka 2022. Hafla hiyo imefanyika nyumbani kwa Mama Fatma Karume, maeneo ya Maisara, Zanzibar 2023. Kikosi cha Yanga kilikuwa Zanzibar kwa…
Wikendi ndio hiyo inaishia huku nafasi ya wewe kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet ikiwa imefika kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Kule Hispania LALIGA itendelea pia ambapo Atletico Madrid atakuwa ugenini kuchuana dhidi ya Getafe. Mwenyeji yupo nafasi ya 14 na mgeni wake…
MGENI mwenyeji, Okra Magic ni mali ya Yanga yeye ni winga raia wa Ghana ambapo anajiunga na timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamond kwenye dirisha dogo. Desemba 31 2023 Okrah alitambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi, Zanzibar. Katika mchezo wa funga 2023 ubao baada ya dakika 90…
IMEELEZWA kuwa, licha ya Mwekezaji wa Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’, kuachia nafasi ya Uenyekiti waBodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo, lakini bado anahusika kwenye baadhi ya mambo ikiwemo kipindi hiki chamchakato wa kusaka kocha mpya wa kuinoa timu hiyo. Wakati Simba ikiwa kwenye mchakato wa kumsaka mrithi wa Kocha Didier Gomes aliyeachia ngazi Jumanne ya wiki hii, baadhi ya viongozi wa Simba wameonekana kulijadili jina la Kocha…
NYOTA wawili wa Simba ambao ni Chris Mugalu na Kibu Dennis tayari wameanza mazoezi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu Pablo Franco. Nyota hao ni mitambo ya kutengeneza mabao kutokana na kuwa na rekodi za kuwa na uwezo wa kutengeneza nafasi za mabao kwenye mechi ambazo wamecheza msimu wa 2021/22. Mugalu yeye ametengeneza…
UBAO wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 1-0 RS Berkane katika mchezo wa Kombe ma Shirikisho uliochezwa leo Machi 13. Ni mchezo ambao ulimalizwa na Simba kipindi cha kwanza kwa bao pekee la ushindi la Pape Sakho dakika ya 44. Ikumbukwe kwamba katika mchezo wa awali uliochezwa Morocco, Berkane ilishinda kwa mabao 2-0. Florent Ibenge…
MIKATABA yapitiwa upya, mastaa Yanga wajazwa mamilioni, Phiri afungukia bao lake la kiwango cha dunia Caf ndani a Championi Jumatatu