
YANGA KAZINI NEW AMAAN COMPLEX KIMATAIFA
BAADA ya mchezo wa Septemba 14 2024 ubao kusoma CBE SA 0-1 Yanga dakika 90 za kazi zinatarajiwa kuchezwa Jumamosi katika ardhi ya Tanzania. Chini ya MiguelGamondi ambaye ni kocha mkuu wa Yanga katika dakika 90 za ugenini bao la ushindi lilipachikwa na mshambuliaji Prince Dube dakika ya 45. Gamondi ameweka wazi kuwa kuanza kwa…