Kamilisha Ndoto Zako na Super Heli Kasino

Hapo mwanzo baada ya kuutambulisha mchezo wa Super Heli ambao namba moja pendwa kwa michezo ya kasino ya mtandaoni, wengi walikuwa wanauchukulia poa poa tu lakini leo nataka nikujuze usichokifahamu kingine kwenye mchezo huu. Pale Meridianbet kuna michezo mingi sana ya kasino, kuna Aviator, Poker, Roulette nk lakini huu umekuwa gumzo kwa wachezaji wote walioweka…

Read More

LIGI YA MABINGWA ULAYA KUENDELEA LEO

Mtoto hatumwi dukani leo kwenye ligi ya mabingwa barani ulaya ambapo itapigwa michezo ya kibabe katika hatua ya 16 bora ili kutoa tiketi ya robo fainali kwa vilabu vinne vitakavyocheza leo. Leo itapigwa michezo miwili mikali ya ligi ya mabingwa ulaya ikihusisha timu nne ambapo michezo yote iko wazi na kila mmoja ana uwezo wa…

Read More

MSHAMBULIAJI KMC AINGIA ANGA ZA YANGA

NYOTA Wazir Junior mshambuliaji wa KMC ameingia anga za Yanga kwa kuwa sawa kwenye utupiaji na mwamba Aziz KI ndani ya Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba Junior aliwahi kucheza katika kikosi cha Yanga alipoibuka hapo akitokea Mbao lakini alikwama kuwa kwenye ubora kutokana na kutopewa nafasi mara kwa mara na hata alipopewa hakuwa na bahati…

Read More

YANGA YAZITAKA POINTI TATU ZA IHEFU

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema kuwa wataingia kwa tahadhari kuwakabili wapinzani wao Ihefu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Machi 11 Yanga ambao wametoka kushuhudia ubao wa Uwanja wa Majaliwa ukisoma Namungo 1-3 Yanga watakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Ihefu. Katika mchezo huo…

Read More

Barbary Coast Kasino Sehemu Utajiri Ulipofichwa

Huu hapa mchezo mwingine mzuri kabisa na rahisi kujipigia mkwanja unaposhiriki michezo ya kasino ya mtandaoni, ni mchezo wa Barbary Coast maharamia wenye nguvu wanaopatikana baharini, kazi yao ni kuteka meli zenye mizigo na kujimilisha. Unapokuwa unaucheza mchezo huu wa kasino ya mtandaoni unakupa nafasi ya kujimilikisha alama nyingi za ushindi, kwa kupanga madau yako…

Read More