MTU ALIYEISHI KATIKA ‘PAFU LA CHUMA’ AAGA DUNIA AKIWA NA MIAKA 78
Mwanamume anayejulikana kama “iron lung man” ambaye aliugua polio akiwa mtoto amefariki dunia nchini Marekani akiwa na umri wa miaka 78. Paul Alexander aliugua polio mnamo 1952 alipokuwa na umri wa miaka sita, na kumwacha karibu kupooza kabisa. Kwa sababu ya ugonjwa wake, hakuweza kupumua mwenyewe, na madaktari walimweka kwenye mtungi wa chuma, ambapo alitumia…