EUROPA Yaja na Mkwanja Mrefu Meridianbet

Leo wakubwa wote wapo dimbani kusaka tiketi ya kwenda hatua  ya Robo Fainali ya michuano ya EUROPA. Suka mkeka wako sasa na uweze kujiweka kwenye nafasi ya kuwa milionea leo hii. SL Benfica kutoka Ureno baada ya kulazimishwa sare mechi iliyopita akiwa nyumbani, leo hii atakuwa ugenini kusaka ushindi dhidi ya Glasgow Rangers katika dimba…

Read More

TIMU ZILIZOFUZU ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

Hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imekamilika huku wababe 8 wa Ulaya wakitinga robo fainali. Atletico Madrid na Borussia Dortmund zimeungana na Real Madrid, Manchester City, Barcelona, Arsenal, Bayern Munich na PSG kwenye hatua hiyo kufuatia ushindi usiku wa kuamkia leo. Atletico Madrid imefikia hatua hiyo baada ya ushindi wa penalti 3-2…

Read More

ANAYEFUATA KUKUTANA NA YANGA KUKUTANA NA KITU KIZITO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kasi ambayo wanaendelea nayo ndani ya Ligi Kuu Bara mpinzani wao anayefuata atakutana na kitu kizito kutokana na mipango waliyonayo. Ikumbukwe kwamba Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 49 kibindoni baada ya kucheza mechi 18Machi 14 inatarajiwa kusaka pointi tatu dhidi ya Geita Gold,Uwanja wa Azam Complex

Read More

MUDA ASEPA NA TUZO YAKE FEBRUARI

KIUNGO wa Yanga ambaye mtindo wake wa ushangiliaji kila anapofunga ni kuonekana kama anaongea na simu amechaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya kikosi cha Yanga kwa Februari. Ni Mudathir Yahya ambaye katupia jumla ya mabao 8 ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 amekuwa chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwenye mechi…

Read More

NI MWAKA WA MAOKOTO MPATA 2025 UKICHEZA MERIDIANBET KASINO| PRAGMATIC PLAY, DROP&WIN

Promosheni ya Pragmatic Play ya Drop&Win sasa imeanza tangu Machi 6, 2024 na itadumu mpaka 2025 Promosheni hii ni maalum kwa wateja wote waliojisajili na Meridianbet ambapo kiasi cha Zaidi ya Tsh 80,000,000,000/= zitatolewa kama mvua katika kipindi chote cha Promosheni. Promosheni hii ya Kasino ya Mtandaoni inajumuisha mashindano ya kila siku mia tatu sitini…

Read More

LIGI YA MABINGWA ULAYA SIO MCHEZO USIKU WA LEO

Ligi ya mabingwa ulaya usiku wa leo itapigwa michezo mikali sana mzunguko wa pili hatua ya 16 bora, Ambapo michezo hii itatamua hatma ya wa timu hizi katika safari yao ya kuitafuta hatua ya robo fainali. Michezo hii mikali itapigwa katika viwnaja viwili ambapo mchezo wa kwanza kati ya Borussia Dortmund dhidi ya PSV Eindhoven…

Read More

YANGA KAZINI TENA LIGI KUU BARA

KAZI inaendelea ndani ya Ligi Kuu Bara ambapo vinara wa ligi na mabingwa watetezi Yanga wanatarajiwa kuwa na kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Geita Gold. Migue Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Geita Gold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex….

Read More

AZAM FC KWENYE HATUA NYINGINE TENA

MATAJIRI wa Dar,Azam FC wameendeleza mwendo wa kupiga hatua zaidi kwaajili ya kuwa na wachezaji bora na kuendeleza kutoa ajira kwa Watanzania kupitia sekta ya michezo. Taarifa ambayo imetolewa na Azam FC imeeleza namna hii: “Tumeingia makubaliano ya ushirikiano na vituo vya kulea vipaji (academies) nane za mikoa mbalimbali nchini. “Vituo hivyo nane vitakuwa ni…

Read More

SIMBA NGOMA NZITO KWENYE ULINZI

KATIKA mechi tatu àmbazo ni dakika 270 Simba imeruhusu jumla ya mabao manne ikikwama kuondoka na clean sheet katika mechi hizo. Ngoma ni nzito kwenye upande wa ulinzi huku benchi la ufundi likibainisha kuwa litafanyia kazi hayo yote kwenye uwanja wa mazoezi. Seleman Matola, kocha msaidizi wa Simba amesema wanatambua kuwa kuna makosa yanatokea jambo…

Read More