


ZIDANE: NINAAMBIWA MUDA WANGU BADO
ZIDANE Sereri nyota wa Azam FC ameweka wazi kuwa kuna dhana ya kukatishana tamaa kwenye masuala ya upambanaji jambo ambalo linasababisha wengi kukwama kufikia malengo yao. Nyota huyo atakumbukwa na kipa Moussa Camara wa Simba kwenye Mzizima Dabi alimtungua bao la jioni akiwa ndani ya 18 mwisho ubao ukasoma Simba 2-2 Azam FC na alichaguliwa…

MAYELE AFICHUA MAGUMU YA CAF,PHIRI ATOA AHADI NZITO
MAYELE afichua magumu ya CAF, Phiri atoa ahadi nzito CAF ndani ya Spoti Xtra Alhamisi

CHAGUENI TUANZE NA KIPI? MUVI YA YANGA KUPORWA MCHEZAJI
CHAGUENI tuanze na kipi? Muvi ya Simba SC kuwapora Yanga mchezaji ilikuwa hivi… ndani ya Championi Jumatano

HII NI YAKO MWAMBA WA KUBASHIRI, MERIDIANBET WAMEONGEZA ODDS ZAO
EPL itasimama kupisha michuano ya FA ambayo timu za Uingereza zitakutana katika mbio za kumtafuta bingwa, huku Ligi kadhaa zikiendelea kama kawaida pia Serie A na La Liga moto utaendelea kama kawaida. Pata Odds Nono kwenye kila mechi ukibashiri na Meridianbet. Odds Nono za Meridianbet Wikiendi Hii? Jumamosi mapema sana ni Tottenham dhidi ya Portmouth…

HIVI NDIVYO SIMBA WALIVYOTOA ZAWADI YA KRISMASI
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba jana Desemba 24 wametoa zawadi ya Krismasi kwa mashabiki wake baada ya kusepa na pointi tatu mazima mbele ya KMC. Baada ya dakika 90 kukamilika ubao wa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ulisoma KMC 1-4 Simba ikiwa ni ushindi wao wa kwanza kushinda mabao zaidi ya matatu kwenye…

VIDEO:MWINYI ZAHERA AMPA SIFA MAKAMBO,HAHITAJI NAFASI NYINGI
MWINYI Zahera, Mkurugenzi wa Benchi la Ufundi kwenye timu za Vijana ndani ya kikosi cha Yanga ameweka wazi kuwa mshambuliaji Heritier Makambo hahitaji nafasi nyingi ili aweze kufunga. Desemba 15,Uwanja wa Mkapa Makambo alitupia mabao matatu kwenye ushindi wa mabao manne dhidi ya Ihefu FC mchezo wa Kombe la Shirikisho na bao moja lilifungwa na…

UTAMU WA UEFA KUKUJIA HIVI KARIBUNI
Ukiwa unajiuliza ni wapi unaweza kujihakikishia ushindi wa maana, mimi nakwambia chimbo ni moja tuu nalo ni Meridianbet, ambapo Nusu Fainali za kwanza UEFA kupigwa Jumanne na Jumatano. Je nani kuibuka bingwa? Jumatano hii mechi kali kabisa Barcelona atakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Inter Milan ya Simone Inzaghi. Barca kwanza ndio vinara wa Laliga wakiwa…

SIMBA YAFUNGUKIA UGUMU WA BRAVOS
SIMBA inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids imeweka wazi kuwa inakwenda kukutana na mpinzani mgumu ndani ya dakika 90 kutokana na mwendo wake wa kupata matokeo mazuri kwenye mechi za nyumbani ndani ya Kombe la Shirikisho Afrika. Wakiwa na kumbukumbu ya kupata matokeo chanya kwenye mchezo waliocheza nao Bravos, Uwanja wa Mkapa Novemba 24 2024…

YANGA YAITUNGUA TP MAZEMBE NJE NDANI
TP Mazembe wametunguliwa mabao 4-1 dhidi ya Yanga wawakikilishi wa Tanzania,Kombe la Shirikisho Afrika. Mchezo wa kwanza Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Yanga 3-1 TP Mazembe. Mchezo wa pili Uwanja wa TP Mazembe ubao umesoma TP Mazembe 0-1 Yanga ikiwa ni hatua ya makundi. Mtupiaji ugenini ni Farid Mussa dakika ya 63 na kuifanya Yanga…

MTIBWA SUGAR YAPOTEZA TENA UGENINI
HAIJAWA kwenye mwendo mzuri Klabu ya Mtibwa Sugar ndani ya msimu wa 2023/24 kutokana na kukwama kupata pointi tatu ugenini. Desemba 7 ikiwa ugenini imepoteza pointi tatu dhidi ya Namungo FC kwa kushuhudia ubao ukisoma Namungo 1-0 Mtibwa Sugar. Bao la ushindi lilifungwa Derick Mukombozi ambapo Mtibwa Sugar ilitoka kupoteza mchezo wao dhidi ya Azam…

AUBA AINGIA ANGA ZA NEWCASTLE UNITED
KLABU ya Newcastle United wametuma maombi kwenda Arsenal ili kuipata saini ya mshambuliaji wa klabu hiyo, Pierre-Emerick Aubameyang, 32, katika dirisha hili. Mshambuliaji huyo ambaye huenda asionekane tena uwanjani akiwa na jezi ya Arsenal amekuwa hayupo kwenye kiwango bora tangu msimu huu uanze na katika siku za hivi karibuni amevuliwa unahodha kutokana na vitendo vyake…

ANGA LA KIMATAIFA SIMBA NA YANGA ZATESA KWA MKAPA
KWENYE anga la kimataifa wawakilishi wa Tanzania Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika na Yanga kwenye Kombe la Shirikisho wamefanya kweli kwa kukusanya pointi za kutosha Uwanja wa Mkapa. Yanga wamekimbiza kwenye kusepa na pointi ambazo ni 9 wakiwa hawajaacha hata moja katika mechi walizocheza Uwanja wa Mkapa huku Simba ikisepa na pointi sita na…

YANGA KUWAFUATA NAMUNGO LEO
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara leo Jumatano, Novemba 17 wanatarajia kusepa Dar kuelekea Lindi kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Vinara hao wa ligi wakiwa nafasi ya kwanza na pointi 15 Novemba 20 watatatupa kete yao ya sita kwa kusaka ushindi mbele ya Namungo itakuwa Uwanja wa…

MORRISON BADO HAJAANDIKA BARUA KAMA ALIVYOELEKEZWA
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mpaka sasa haujapokea barua ya mchezaji wao Bernard Morrison kama ambavyo alielekezwa kufanya hivyo kabla ya kusimamishwa. Februari 4,2022 Simba ilitoa taarifa rasmi ya kumsimamisha Morrison kwa kile kilichoelezwa kuwa ni sababu ya utovu wa nidhamu. Ofisa Habari wa Simba,Ahmed Ally amesema:”Tulimsimamisha Morrison kutokana na tuhuma za nidhamu ambazo…

WINGA WA SPIDI KISINDA KUKIWASHA YANGA
NYOTA Tuisila Kisinda anarejea rasmi kuongeza kasi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi, hivyo anatarajiwa kukiwasha ndani ya ligi na kimataifa. Usajili wakeakitokea RS Berkane ulileta mvutano mkubwa ila rasmi Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya Shirikisho la Mpira Tanzania, (TFF) imepitisha usajili wake. Usajili wa winga huyo…

WAZIRI MKUU AZINDUA KAMATI YA KITAIFA AFCON 2027
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Julai 05, 2024 amezindua Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) na kuahidi kuwa Serikali itafanya nayo kazi kwa karibu ili iweze kufanikisha malengo ya Tanzania kufanya vizuri kwenye michuano hiyo. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kamati hiyo kwenye hafla iliyofanyika katika hotel ya…