ZIDANE: NINAAMBIWA MUDA WANGU BADO

ZIDANE Sereri nyota wa Azam FC ameweka wazi kuwa kuna dhana ya kukatishana tamaa kwenye masuala ya upambanaji jambo ambalo linasababisha wengi kukwama kufikia malengo yao. Nyota huyo atakumbukwa na kipa Moussa Camara wa Simba kwenye Mzizima Dabi alimtungua bao la jioni akiwa ndani ya 18 mwisho ubao ukasoma Simba 2-2 Azam FC na alichaguliwa…

Read More

UTAMU WA UEFA KUKUJIA HIVI KARIBUNI

Ukiwa unajiuliza ni wapi unaweza kujihakikishia ushindi wa maana, mimi nakwambia chimbo ni moja tuu nalo ni Meridianbet, ambapo Nusu Fainali za kwanza UEFA kupigwa Jumanne na Jumatano. Je nani kuibuka bingwa? Jumatano hii mechi kali kabisa Barcelona atakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Inter Milan ya Simone Inzaghi. Barca kwanza ndio vinara wa Laliga wakiwa…

Read More

SIMBA YAFUNGUKIA UGUMU WA BRAVOS

SIMBA inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids imeweka wazi kuwa inakwenda kukutana na mpinzani mgumu ndani ya dakika 90 kutokana na mwendo wake wa kupata matokeo mazuri kwenye mechi za nyumbani ndani ya Kombe la Shirikisho Afrika. Wakiwa na kumbukumbu ya kupata matokeo chanya kwenye mchezo waliocheza nao Bravos, Uwanja wa Mkapa Novemba 24 2024…

Read More

MTIBWA SUGAR YAPOTEZA TENA UGENINI

HAIJAWA kwenye mwendo mzuri Klabu ya Mtibwa Sugar ndani ya msimu wa 2023/24 kutokana na kukwama kupata pointi tatu ugenini. Desemba 7 ikiwa ugenini imepoteza pointi tatu dhidi ya Namungo FC kwa kushuhudia ubao ukisoma Namungo 1-0 Mtibwa Sugar. Bao la ushindi lilifungwa Derick Mukombozi ambapo Mtibwa Sugar ilitoka kupoteza mchezo wao dhidi ya Azam…

Read More

AUBA AINGIA ANGA ZA NEWCASTLE UNITED

KLABU ya Newcastle United wametuma maombi kwenda Arsenal ili kuipata saini ya mshambuliaji wa klabu hiyo, Pierre-Emerick Aubameyang, 32, katika dirisha hili. Mshambuliaji huyo ambaye huenda asionekane tena uwanjani akiwa na jezi ya Arsenal amekuwa hayupo kwenye kiwango bora tangu msimu huu uanze na katika siku za hivi karibuni amevuliwa unahodha kutokana na vitendo vyake…

Read More

ANGA LA KIMATAIFA SIMBA NA YANGA ZATESA KWA MKAPA

KWENYE anga la kimataifa wawakilishi wa Tanzania Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika na Yanga kwenye Kombe la Shirikisho wamefanya kweli kwa kukusanya pointi za kutosha Uwanja wa Mkapa. Yanga wamekimbiza kwenye kusepa na pointi ambazo ni 9 wakiwa hawajaacha hata moja katika mechi walizocheza Uwanja wa Mkapa huku Simba ikisepa na pointi sita na…

Read More

YANGA KUWAFUATA NAMUNGO LEO

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara leo Jumatano, Novemba 17 wanatarajia kusepa Dar kuelekea Lindi kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Vinara hao wa ligi wakiwa nafasi ya kwanza na pointi 15 Novemba 20 watatatupa kete yao ya sita kwa kusaka ushindi mbele ya Namungo itakuwa Uwanja wa…

Read More

MORRISON BADO HAJAANDIKA BARUA KAMA ALIVYOELEKEZWA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mpaka sasa haujapokea barua ya mchezaji wao Bernard Morrison kama ambavyo alielekezwa kufanya hivyo kabla ya kusimamishwa. Februari 4,2022 Simba ilitoa taarifa rasmi ya kumsimamisha Morrison kwa kile kilichoelezwa kuwa ni sababu ya utovu wa nidhamu. Ofisa Habari wa Simba,Ahmed Ally amesema:”Tulimsimamisha Morrison kutokana na tuhuma za nidhamu ambazo…

Read More

WINGA WA SPIDI KISINDA KUKIWASHA YANGA

NYOTA Tuisila Kisinda anarejea rasmi kuongeza kasi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi, hivyo anatarajiwa kukiwasha ndani ya ligi na kimataifa. Usajili wakeakitokea RS Berkane ulileta mvutano mkubwa ila rasmi Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya Shirikisho la Mpira Tanzania, (TFF) imepitisha usajili wake. Usajili wa winga huyo…

Read More

WAZIRI MKUU AZINDUA KAMATI YA KITAIFA AFCON 2027

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Julai 05, 2024 amezindua Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) na kuahidi kuwa Serikali itafanya nayo kazi kwa karibu ili iweze kufanikisha malengo ya Tanzania kufanya vizuri kwenye michuano hiyo. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kamati hiyo kwenye hafla iliyofanyika katika hotel ya…

Read More