PANAPOVUJA PAMEONEKANA NI MUDA WA KUJIPANGA UPYA

BAADA ya mechi tano za Ligi Kuu Bara kuchezwa tayari pale ambapo panavuja pameshatambulika. Makosa ya timu kwenye dakika 90 yalionekana na benchi la ufundi liliona hivyo ni muda wa kufanyia kazi. Wapo ambao lawama wanazikimbiza kwa waamuzi, hili nalo linapaswa kufanyiwa kazi. Wachezaji nafasi zile za dhahabu wanazozipata ni muhimu kuzitumia. Kawaida kila baada…

Read More

KIPA WA KAZI AREJEA YANGA

KIPA wa kazi ndani ya Yanga Djigui Diarra amerejea ndani ya kikosi hicho baada ya kuwa kwenye majukumu mengine ya timu ya taifa. Tayari Diarra ambaye ni kipa namba moja wa Yanga yupo kambini na kikosi hicho baada ya kuwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa lake la Mali iliyoshiriki michuano ya Kombe la Mataifa…

Read More

YANGA NI NAMBA MOJA SHIRIKISHO AFRIKA

YANGA ni vinara wa kundi D katika Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ubao wa Uwanja wa TP Mazembe kusoma TP Mazembe 0-1 Yanga. Bao la ushindi ni mali ya Farid Mussa huku kipa Metacha Mnata ikiwa ni mchezo wake wa kwanza anga za kimataifa akikamilisha dakika zote 90 bila kutunguliwa. US Monastir ushindi wao…

Read More

JESHI LA YANGA V IHEFU HILI HAPA, MUSONDA BENCHI MUDA NDANI

KIKOSI cha Yanga kitakachoikabili Ihefu, Uwanja wa Mkapa, ingizo jipya Mudhathir Yahya ameanza kikosi cha kwanza huku Musonda akiwa benchi. Hiki hapa kikosi chenyewe:- DJIGUI Diarra Djuma Shaban Kibwana Shomary Job Mwamnyeto Mudhathir Yahya Sure Boy Jesus Moloko Fiston Mayele Farid Mussa Tuisila Kisinda Akiba Johola Bryson Lomalisa Bacca Ngushi Ambundo Mzize Musonda

Read More

MZEE WA KUCHETUA ATUMA UJUMBE KWA WAZAMBIA

BERNARD Morrison, mzee wa kuchetua ametuma ujumbe kwa Red Arrows ya Zambia kwa kuweka wazi kwamba wanahitaji ushindi kwenye mchezo wao wa marudio katika Kombe la Shirikisho. Morrison alikuwa ni nyota wa mchezo ule wa kwanza walipokutana Uwanja wa Mkapa licha ya kuwa na changamoto ya maji kwenye ule uwanja aliweza kuhusika kwenye mabao yote…

Read More

WATATU WAPENYA TUZO SIMBA, SAIDO NDANI

KWENYE orodha ya Wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) mwezi Mei, 2023 kiungo mshambuliaji Saido Ntibanzokiza jina lake limepenya. Ntibanzokiza anapambania tuzo hiyo akiwa kiungo peke yake huku wawili wakiwa ni mabeki wa kazikazi ndani ya Simba. Nyota huyo kafunga msimu akiwa ametupia mabao…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SINGIDA BLACK STARS VS SIMBA

HIKI hapa kikosi cha Singida Black Stars dhidi ya Simba SC nusu fainali CRDB Federation Cup:-  Amos Obasogie  Ande Cyrille Gadiel Michael  Frank Assinki  Kennedy Juma  Mohamed Damaro  Edmund John  Morice Chukwu  Jonathan Sowah  Arthur Bada  Emmanuel Keyekeh Akiba Metacha Mnata Imoro Pokou Tchakei Trabi Adebayo Rupia Athuman Makoye Nashon Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi…

Read More

MGUNDA NA HESABU NDEFU SIMBA

JUMA Mgunda Kocha Mkuu wa Simba amesemaamesema kuwa kikubwa ambacho kinahitajika katika mechi zilizobaki ni kupata matokeo mazuri. Ni hesabu ndefu kwa Mgunda kupambaniakupambania nafasi ya pili dhidi ya Azam FC zote zikiwa na pointi 60 kibindoni baada ya kucheza mechi 27 msimu wa 2023/242023/24. Mchezo uliopita wa ligi Simba ilipata pointi tatu dhidi ya…

Read More

WIKI YA MWANANCHI KUANZA AGOSTI MOSI

WIKI ya Mwananchi itaanza rasmi Agosti Mosi mwaka huu wa 2022 ambapo wanatarajia kucheza mchezo na timu ya kimataifa Uwanja wa Mkapa. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara amebainisha kwamba kambi ya maandalizi kwa msimu wa 2022/23 inatarajiwa kuanza kesho Julai 20,2022 Kigamboni. “Tutafanya kambi yetu Kigamboni ambapo kuna eneo zuri na…

Read More

NGOMA NZITO KWA SIMBA, WAGAWANA POINTI NA AZAM

NGOMA nzito kwa Simba mbele ya Azam FC baada ya Mzizima Dabi kukamilika kwa sare ya kufungana bao 1-1. Mchezo ulioshuhudia bao la mapema na bao la usiku kwa timu zote mbili huku wafungaji wote wakitoka ndani ya Azam FC. Ni Prince Dube alianza kuwatungua Simba dakika ya kwanza alipompa tabu Aishi Manula mpaka dakika…

Read More