
PANAPOVUJA PAMEONEKANA NI MUDA WA KUJIPANGA UPYA
BAADA ya mechi tano za Ligi Kuu Bara kuchezwa tayari pale ambapo panavuja pameshatambulika. Makosa ya timu kwenye dakika 90 yalionekana na benchi la ufundi liliona hivyo ni muda wa kufanyia kazi. Wapo ambao lawama wanazikimbiza kwa waamuzi, hili nalo linapaswa kufanyiwa kazi. Wachezaji nafasi zile za dhahabu wanazozipata ni muhimu kuzitumia. Kawaida kila baada…