KIKOSI CHA DODOMA JIJI CHAPATA AJALI

KIKOSI cha Dodoma Jiji kimepata ajali ya basi wakati wakirejea Dar kutoka Ruangwa walipomaliza mchezo wa ligi dhidi ya Namungo FC waliotoshana nguvu kwa kufungana mabao 2-2. Kwenye mchezo huo Dodoma Jiji waligawana pointi mojamoja ugenini katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa huku mlinda mlango Ngelekea Katembua akichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo. Taarifa zimeeleza…

Read More

HUYU HAPA MCHEZAJI BORA YANGA V PRISONS, ALIKIWASHA

WEKA kando kutunguliwa bao moja mbele ya Yanga kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, bado uimara wa kipa aliyeanza ulikuwa kwenye kiwango. Desemba 4, wakati ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 1-0 Tanzania Prisons,mchezaji bora kwa upande wangu alikuwa ni kipa Hussein Abel. Jitihada zake ndani ya dakika 89 zilikuwa kubwa mwanzo mwisho akikamilisha…

Read More

SIMULIZI YA MZAZI ALIYEKUWA NA MAWAZO KISA UWEZO WA WATOTO

SIMULIZI ya mzazi aliyekuwa na mawazo kisa uwezo wa watoto kuporomokaghafla Ni furaha ya kila mzazi kuona watoto wakifaulu maishani na kuweza kunawiri na kujiendeleza maishani mwake bila mtafaruku wowote, yote hayo yalionekana kutoweza kutimia kwa watoto  ambao walikuwa ni Juma na Halima wenye miaka 10, na 13 Walikuwa wachangamfu na kunipa matumaini ya kuweza…

Read More

REKODI HIZI HAPA ZA JEMBE JIPYA SIMBA

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Simba ambaye ni mshambuliaji rekodi zake zinaonekana kumbeba ikiwa zitajibu ndani ya Ligi Kuu Bara. Tayari nyota huyo ambaye ni mshambuliaji Michel Fredy ameanza mazoezi pamoja na wachezaji wenzake ndani ya Simba kwa ajili ya mechi za kitaifa na kimataifa. Rekodi zinaonyeshwa kwamba raia huyo Ivory Coast aliyekuwa kwenye…

Read More

HUYU HAPA KOCHA MPYA AZAM FC

NI Youssouph Dabo ametambulishwa rasmi kuwa kocha mkuu wa Azam FC msimu ujao, 2023/24. Dabo, raia wa Senegal, amesaini mkataba wa miaka mitatu kuwa ndani ya Azam FC. Kwa sasa timu hiyo ipo chini ya Kali Ongala ambaye ni Kaimu Kocha Mkuu. Kituo kinachofuata kwa Azam FC ni Jumamosi mchezo wa ASFC dhidi ya Simba,…

Read More

PABLO:WACHEZAJI SIMBA WAMEKOSA HALI YA KUJIAMINI

PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake kwa sasa wamekosa hali ya kujiamini kutokana na kushindwa kufunga kwenye mechi tatu mfululizo jambo ambalo linafanyiwa kazi. Kwa sasa kwenye ligi Simba imekusanya pointi 25 ikiwa nafasi ya pili na imefunga mabao 14 huku Yanga ikiwa nafasi ya kwanza na pointi 35 na imetupia jumla…

Read More

MTIBWA SUGAR WAJENGA NGOME YAO

MTIBWA Sugar U 20 ni mabingwa mara ya tano katika Ligi ya Vijana ukiwa ni utawala mkubwa kwao. Sio Azam FC, Simba, Yanga wala Geita Gold ambao wamefanikiwa kuonyesha makeke mbele ya timu hiyo. Katika fainali iliyochezwa Julai 2, 2023 Uwanja wa Azam Complex waliibuka washinda kwenye mchezo huo. Ubao wa Uwanja wa Azam Complex…

Read More

SIMBA YATINGA 26 BORA MBELE YA COASTAL UNION

MIKATO yake anayotembeza kimyakimya ndani ya uwanja leo Sadio Kanoute kaihamishia kwa mlinda mlango wa Coastal Union. Ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 1-0 Coastal Union dakika ya 56 akiwa nje ya 18 na kuwanyanyua mashabiki wa Simba kwenye mchezo huo. Coastal Union walicheza kwa kujilinda muda mwingi jambo lililowapa ugumu Simba iliyomtumia Jean…

Read More

PRISONS KUJIPANGA UPYA

BAADA ya jana kupoteza mbele ya Simba kwa kufungwa bao 1-0 na kuyeyusha pointi tatu muhimu, Kocha Msaidizi wa Tanzania Prisons amesema kuwa watajipanga upya. Kazumba Shaban amebainisha kwamba mpango wao ulikuwa ni kupata pointi tatu ila walipoteza mchezo huo kwa bao la penalti. “Hesbu zetu ilikuwa ni kushinda mchezo wetu mbele ya Simba lakini…

Read More

UFARANSA WAPIGA 4G

MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia wamepindua meza kibabe na kusepa na pointi tatu mazima kwenye mchezo wa kwanza wa makundi dhidi ya Australia. Austaralia wakiwa Uwanja wa Al Janoub mbele ya mashabiki 40,875 walianza kupata bao la kuongoza mapema dakika ya 9 kupitia kwa Craig Goodwin. Ni Adrien Rabiot alipachika bao dakika ya 27,…

Read More

HII HAPA RATIBA YA PREMIER LEAGUE

NI Jumamosi ya kazikazi Aprili 26 2025 kuna mechi kali ambazo zinatarajiwa kuchezwa ndani ya Premier League kwa wababe kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Miongoni mwa timu hizo ikiwa ni wiki ya 34 ni Chelsea ambayo ipo nafasi ya sita kwenye msimamo ikiwa imekusanya pointi 57 itakuwa kazini kumenyana na Everton iliyo nafasi ya…

Read More

YANGA YATOA TAMKO ZITO CAF, WATAKA KUWEKA HISTORIA MPYA

KUELEKEA mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, uongozi wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, Yanga umechimba mkwara mzito kwa kusema tayari umeanza kufanya maandalizi mazito ya ndani na nje ya uwanja kuhakikisha wanaandika rekodi ya kufika mbali katika michuano hiyo. Yanga tayari imekata tiketi ya uwakilishi wa Tanzania katika michuano ya…

Read More