KOCHA SIMBA APEWA DAKIKA 180

BAADA ya kukiongoza kikosi cha Simba kwenye mechi mbili za Ligi Kuu Bara kwa kukomba ushindi kwenye mechi zote mbili, Kocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira amepewa dakika 180 za moto kimataifa. Mechi ambazo Oliveira alikiongoza kikosi cha Simba ilikuwa ugeini ubao wa Uwanja wa Manungu ulisoma Mtibwa Sugar 2-4 Simba na alikamilisha dakika 180…

Read More

AZIZ KI, FEISAL KWENYE VITA YAO NYINGINE, WAFUNGUKA

MASTAA wawili wanaofanya kazi kubwa kwenye kutimiza majukumu yao ndani ya uwanja katika mechi za Ligi Kuu Bara, Aziz KI na Feisal Salum wamefungukia hatma yao kuhusu kutwaa tuzo ya kiatu cha ufungaji bora. Mei 25 wababe hao wawili kila mmoja atakuwa kazini kupambania nembo ya timu ambapo Yanga watakuwa na kibarua dhidi ya Tabora…

Read More

LIGI MBALIMBALI ULAYA KUKIWASHA WIKIENDI HII, USIKAE MBALI WEKA MKEKA WAKO UPATE MKWANJA

Wikiendi hii Meridianbet wanakupa fursa ya kunyakua kitita kupitia michezo mbalimbali inayopigwa katika ligi mbalimbali barani ulaya wikiendi hii, Kwakua Meridianbet wamekuweka odds bomba na machaguzi kibao ambayo yanakupa fursa ya kunyakua kitita. Mechi za Jumamosi 25 Febuari Baada ya kulazimishwa sare katika mchezo uliomalizka klabu ya Manchester City wikiendi hii itakua ugenini kumenyana na…

Read More

BRIGHTON YAICHAPA CHELSEA 4G

UWANJA wa Falmer Brighton wamebaki na pointi tatu zote mazima kwa ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Chelsea mchezo wa Ligi Kuu England. Bao la ufunguzi lilijazwa kimiani na Leandro Trossad dakika ya 5, Ruben Loftur-cheek alijifunga dakika ya 14 na Trevoh Chabobah alijifunga dakika ya 42 na kufanya mapumziko Brighton kuwa wanaongoza. Kipindi cha…

Read More

SIMBA KWENYE KAZI LEO MUUNGANO

SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Kombe la Muungano dhidi yaKVZ ambao unatarajiwa kuchezwa leo Aprili 24, Uwanja wa New Amaan Complex. Kikosi hicho kinatarajiwa kuwa na kazi dakika 90 kusaka matokeo ambapo kwenye mechi zake tano mfululizo kimekwama kupata ushindi. Matola amesema; “Tunatambua umuhimu wa mchezo wetu…

Read More

MAN U YASEPA NA POINTI TATU KUBWA

MANCHESTER United inayonolewa na Kocha Mkuu, Ten Hag imesepa na pointi zote tatu muhimu dhidi ya Aston Villa. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Old Trafford ubao umesoma Manchester United 1-0 Aston Villa. Bao pekee la ushindi limefungwa na Bruno Fernandez dakika ya 39 kipindi cha kwanza na kuimaliza kazi mapema. United inafikisha pointi 63 nafasi…

Read More

BREAKING:MRITHI WA MIKOBA YA HAJI MANARA HUYU HAPA

RASMI leo Januari 3,2022 uongozi wa Simba umemtangaza Ahmed Ally kuwa Ofisa Habari wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Pablo Franco. Ally anakuja kuchukua mikoba ya Haji Manara ambaye alibwaga manyanga mwaka 2021 na sasa ni Ofisa Habari ndani ya kikosi cha Yanga. Aliposepa Manara nafasi hiyo alikaimu Ezekiel Kamwaga ambaye kwa sasa yupo…

Read More

MAYELE KAMILI KUIKABILI GEITA GOLD

FISTON Mayele mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Geita Gold. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku. Ngoma inatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na timu zote kusaka pointi tatu. Mayele amesema:”Ni mchezo muhimu kwetu na tunahitaji kupata pointi tatu mashabiki wawe…

Read More

AZAM YAPOTEZA MBELE YA DODOMA JIJI

DODOMA Jiji wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Jamhuri,Dodoma. Bao pekee la Azam FC limefungwa na Ayoub Lyanga ambaye alipachika bao hilo dakika ya 60 na kumfanya afikishe mabao mawili kwenye ligi. Ni Muhsain alipachika bao dakika ya 27 na Collins Opare…

Read More

SALAH APANIA KULIPIZA KISASI KWA SENEGAL

MOHAMED Salah, staa wa timu ya taifa ya Misri amewasisitiza wachezaji wenzake kwamba watakwenda kulipiza kisasi mbele ya Senegal. Ikumbukwe kwamba Salah alikuwa kwenye kikosi cha Misri kilichotinga fainali ya Afcon 2021 na kupoteza kwa kufungwa kwa penalti 4-2 baada ya dakika 120 kumeguka mazima. Ni Sadio Mane wa Senegal ambaye alikosa penalti katika muda…

Read More

NABI:MARUMO SIO TIMU MBAYA TUPO TAYARI KUWAKABILI

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa wapinzani wao Marumo Gallants atakaokutana nao kwenye hatua ya nusu fainali sio wabaya ni timu nzuri. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa na tayari wapinzani wao Gallants wamewasili Bongo alfajiri ya leo. Nabi amesema kuwa wanatambua umuhimu wa mchezo huo wa kesho na mahitaji makubwa…

Read More