Home Sports ALIYEKUWA ANAPIGIWA HESABU SIMBA AMALIZANA NA YANGA Sports ALIYEKUWA ANAPIGIWA HESABU SIMBA AMALIZANA NA YANGA April 29, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp MWAMBA wa kazi beki wa kupanda na kushuka ambaye alikuwa anapigiwa hesabu za kuibuka ndani ya kikosi cha Simba amemalizana na mabosi wa Yanga mapema kwa ajili ya kuendelea kuwa ndani ya kikosi hicho.