XAVI KOCHA MPYA BARCELONA

XAVI Hernandez atakuja kuwa kocha mpya wa Barcelona baada ya mabosi wake Al Sadd kuthibitisha kuhusu hilo. Taarifa rasmi ambayo imetolewa na Al Sadd imeeleza kuwa wamefikia makubaliano mazuri na Xavi kuhusu suala la malipo pamoja na kumuacha aende kwa amani kuanza changamoto mpya. Xavi alikuwa anahusishwa kurejea kwa mara nyingine ndani ya Nou Camp…

Read More

SINGIDA BIG STARS V SIMBA BALL LIMETEMBEA

HILO ball lililopigwa Uwanja wa Liti ni viwango vyajuu huku Simba wakipigishwa kwata ndani ya dakika 90 kutoka kwa walima alizeti Singida Big Stars. Kipindi cha kwanza walishuhudia bao la kwanza kutoka kwa Deus Kaseke aliyetumia pasi ya Said Ndemla dakika ya 11 likiwa ni bao la mapema kwa Simba kufungwa. Iliwabidi Simba wasubiri kipindi…

Read More

MWAMUZI WA FAINALI HUYU HAPA

NI Szymon Marciniak raia wa Poland ameteuliwa kuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia leo Desemba 18,2022. Ni Argentina dhidi ya Ufaransa ambao ni mabingwa watetezi wa Kombe la la Dunia. Marciniak mwenye maiak 41, amekuwa mwamuzi wa FIFA tangu 2011 na fainali itakuwa mechi yake ya tatu huko Qatar,…

Read More

SERENGETI GIRLS YATINGA BUNGENI

LEO Juni 7,2022,Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wasichana U17 Serengeti Girls wameweza kuingia kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Serengeti Girls wamealikwa bungeni baada ya kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia litakalofanyika India mwaka huu kwa ushindi wa jumla ya mabao 5-1 Cameroon. Kete ya kwanza walianza ugenini ambapo waliweza kushinda…

Read More

GANZI YA MAUMIVU KWENYE UPENDO YAPIGA HODI KIGAMBONI

RASMI ile simulizi ya Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo iliyopata nafasi ya kutoka kwenye gazeti la Championi Jumatano na kusomwa na zaidi ya Watanzania milioni sasa inapiga hodi Kigamboni mji ulitulia huku amani ikizidi kutawala kila kona. Ikumbukwe kwamba hii ni simulizi ya kwanza kuwa kwenye mfumo wa kitabu imeandikwa na Mtunzi Lunyamadzo Myuka, A…

Read More

MZAWA JOB AWEKA REKODI TAMU BONGO

MZAWA Dickosn Job anayekipiga ndani ya kikosi cha Yanga ameweka rekodi yake matata kwa kuwa mzawa pekee ambaye amefunga kwa timu za Kariakoo Februari ndani ya Uwanja wa Mkapa. Mechi za ufunguzi wa Februari, Simba na Yanga zote zimecheza Uwanja wa Mkapa na kusepa na ushindi ilianza Simba Februari 3 ubao uliposoma Simba 3-1 Singida…

Read More

BONANZA SEKTA YA UCHUKUZI USHINDANI MKUBWA

NAIBU Waziri wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete alikuwa mgeni rasmi ambaye amezindua bonaza la Watumishi Sekta ua Uchukuzi. Bonanza hilo limefanyika leo Januari 21,2023 katika Viwanja vya Chuo Kikuu cha Mlimani, Dar. Michezo ya awali ilikuwa ni pamoja na kuvuta kamba, kukimbia kwenye magunia, mpira wa pete na mpira wa miguu pamoja…

Read More

SIMBA YASAKA ATAKAYEMPA CHANGAMOTO TSHABALALA

MEFAHAMIKA kuwa Simba imeanza kumnyemelea beki katili wa kushoto anayekipiga ASEC Mimosas, Wonlo Coulibaly raia wa Ivory Coast. Nyota huyo ambaye alicheza kwenye mchezo wa kwanza uliopigwa jijini Dar ukiwa wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Simba na kuchapwa mabao 3-1, inadaiwa amewavutia mabosi wa Msimbazi hivyo wanataka kufanya jambo. Beki huyo mwenye miaka 30, aliwahi kucheza TP Mazembe ya…

Read More

MAYELE:MABEKI WANATAKA NISIFUNGE

FISTON Mayele,mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa mabeki wengi kwa sasa wamekuwa wakimkamia ili asifunge kila anapocheza. Mayele msimu huu wa 2021/22 akiwa ndani ya kikosi cha Yanga amehusika kwenye mabao 15 kati ya 38. Ametupia mabao 12 na kutoa pasi mbili za mabao hajafunga kwenye mechi nne za ligi msimu huu na kumfanya awe sawa…

Read More

KOCHA TANZANIA PRISONS:PENALTI YA SIMBA NI HALALI

SHABAN Kazumba, Kocha Msaidizi wa Tanzania Prisons, amesema kuwa bao la penalti ambayo walipata Simba  ni halali kwa kuwa ilitolewa na mwamuzi kutokana na makosa ambayo walifanya. Bao hilo lilifungwa na Meddie Kagere na lilionekana kuwa na utata kutokana na wachezaji wa Prisons kumfuata mwamuzi kulalamika juu ya penalti hiyo. Kazumba aliliambia Championi Jumamosi kuwa:-“Simba…

Read More

KIKWAZO KWENYE MERSEYSIDE DERBY HIKI HAPA

KOCHA Mkuu wa Liverpool, Arne Slot ameweka wazi kuwa mchezo wao wa Merseyside Derby lazima wapambane kupata ushindi huku kikwazo kikitajwa kuwa ni David Moyes ambaye ni Kocha Mkuu wa Everton kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Anfield. Huu ni mchezo wa Ligi Kuu England ambapo vinara hao wa ligi wakiwa na pointi 70 baada…

Read More

HIZI HAPA MECHI ZA LAKRED NDANI YA SIMBA

KIPA wa Simba, Ayoub Lakred rekodi zinaonyesha kwamba ni mechi 14 ameanza langoni msimu wa 2023/24 akiwa na uzi wa timu hiyo yenye maskani Msimbazi. Kwenye mechi hizo amekomba dakika 1,260 akitunguliwa kwenye mechi 7 na hakutungiliwa kwenye mechi 7 pia ikiwa ni nusunusu ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba kikosi cha Simba ndani ya…

Read More

JOASH ONYANGO NDANI YA CHANGAMOTO MPYA

JOASH Onyango beki wa Simba rasmi kwa msimu wa 2023/24 atakuwa kwenye changamoto mpya na timu mpya ndani ya Singida. Nyota huyo mkataba wake na Simba unatarajiwa kumeguka msimu ujao na mabosi wa Simba wamefikia makubaliano ya kumtoa kwa mkopo kuelekea Singida Fountain Gate. Atakuwa ndani ya Singida Fountain Gate kwa mkopo msimu wa 2023/24…

Read More

BENCHIKHA AMVUTA MBADALA WA CHAMA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mualgeria, Abdelhak Benchikha, amewasilisha jina la kiungo wa zamani wa Paide Linnameeskond ya nchini Estonia, Babou Cham raia wa Gambia kwa ajili ya kuwa mbadala wa Clatous Chama. Benchikha tayari amewasilisha orodha ya wachezaji anaowahitaj kwa ajili ya kuongezwa katika dirisha dogo kati ya hao, yupo kiungo mkabaji Babacar Sarr aliyetambulishwa…

Read More