
AUCHO NA DJUMA KUIWAHI NAMUNGO
KHALID Aucho kiungo msumbufu na mzee wa kazi ndani ya Yanga anatarajiwa kuungana na kikosi leo kwa ajili ya kuelekea Lindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo. Pia Djuma Shaban naye ambaye ni beki wa kupanda na shaka naye atajiunga na timu hiyo kuwafuata Namungo. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga,…