
KMC YASAHAU KICHAPO CHA SIMBA,HESABU ZIPO HAPA
HABIB Kondo, Kocha Msaidizi wa Klabu ya KMC amesema kuwa wamesahau matokeo waliyoyapata mbele ya Simba sasa hesabu zao ni mchezo wao dhidi ya Ruvu Shooting. KMC ilipoteza kwa kufungwa mabao 4-1 dhidi ya Simba katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi na kuwafanya wayeyushe pointi tatu mazima. Leo KMC itakuwa na kazi ya…