AZAM FC KUIKABILI KMKM MUUNGANO
KLABU ya Azam FC matajiri wa Dar wanakibarua kigumu kwenye mchezo wa nusu fainali Muungano 2024 dhidi ya KMKM kwa kila mmoja kusaka ushindi kusonga mbele hatua ya fainali. Ikumbukwe kwamba Aprili 24 Simba ilikuwa na kibarua mbele ya KVZ na iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 hivyo imetinga hatua ya fainali ikisubiri mshindi wa…