
HAWA HAPA WACHEZAJI WA SIMBA WATAKAOIBUKIA ANGOLA
MSAFARA wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Januari 9 2025 umekwea pipa kulekekea nchini Angola kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wao ujao kimataifa dhidi ya Bravos unaotarajiwa kuchezwa Januari 12 2025. Wachezaji 22 wapo kwenye orodha ya mastaa wa Simba ambao watakuwa na kazi kwenye mchezo huo wa makundi, hiki…