JKT TANZANIA V YANGA KUPANGIWA TAREHE

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga uliotarajiwa kuchezwa Aprili 23 2024 Uwanja wa Meja Isamuhyo umeahirisha. Huu ni mchezo wa mzunguko wa pili ambao ulitarajiwa kuchezwa kwa dakika 90 kusaka mshindi ambaye angekomba pointi tatu. Timu zote mbili zilikuwa zimewasili uwanjani kwa ajili ya mchezo huo wa ligi uliokuwa…

Read More

SIMBA HAO ZANZIBAR

KIKOSI cha Simba leo kimeanza safari kuelekea Zanzibar kwa ajili ya mashindano ya Muungano Cup 2024. Simba haijawa kwenye mwendo mzuri ndani ya ligi baada ya kukwama kuonyesha uwezo wake wa kutumia nafasi dhidi ya Yanga ndani ya Ligi Kuu Bara. Mzunguko wa kwanza ilipoteza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-5…

Read More

INONGA KWENYE ULIMWENGU WAKE SIMBA

HENOCK Inonga katika Ligi Kuu Bara sio chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Abdelhakh Benchikha kwa kuwa anatumia muda mwingi nje ya uwanja. Beki huyo yupo kwenye ulimwengu wake mwenyewe kutoakana na kutokuwa kwenye ubora wake katika mechi ambazo wanacheza msimu huu. Msimu wa 2023/24 umekuwa ni mbaya kwake baada ya kuumia katika mchezo wa…

Read More

YANGA KWENYE KAZI NYINGINE TENA

VINARA wa Ligi Kuu Bara, Yanga leo wanakibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya JKT Tanzania. Yanga Aprili 20 2024 imetka kukomba pointi tatu dhidi ya Simba kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi. Katika mchezo huo baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Yanga 2-1 Simba hivyo ndani ya msimu wa 2023/24 nje…

Read More

AZAM FC WAITULIZA IHEFU

USHINDI wa Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu unawapa pointi tatu mazima huku mwamba Feisal Salum akifikisha mabao 14. Azam FC wameituliza Ihefu kwenye mchezo wa ligi na kusepa na pointi tatu mazima ambazo zinawaongezea kasi kuufukuzia ubingwa wa ligi msimu wa 2023/24. Ni dakika ya 13 alipachika bao hilo…

Read More

YANGA; 5G KWA SIMBA HAIKWEPEKI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kichapo cha mabao 5 mbele ya Simba hakikimbiliki kwa namna yoyote kwa kuwa kila hesabu watakazofanya inakuja 5. Ipo wazi kuwa mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 1-5 Yanga na mchezo wa mzunguko wa pili ilikuwa Yanga 2-1 Simba. Ali…

Read More