SIMBA MABINGWA WA MUUNGANO 2024

HATIMAYE mabingwa wapya wa Muungano 2024 ni Simba baada ya kushinda katika mchezo wa fainali dhidi ya Azam FC. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex umesoma Simba 1-0 Azam FC. Bao la ushindi limefungwa na kiungo mkabaji Babacar Sarr dakika ya 77 ya mchezo huo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa….

Read More

BINGWA WA MUUNGANO ATAJWA NA WIZARA YA MICHEZO

NAIBU Waziri wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, maarufu kama FA amesema kuwa bingwa wa leo kwenye mchezo wa fainali wa Muungano ataandika rekodi ya kuwa bingwa mpya baada ya mashindano hayo kurejea. FA amesema hayo kwenye uzinduzi wa mashindano ya Dar Youth Cup yaliyoandaliwa na  Bull Football Academy kituo cha kukuza…

Read More

LIGI KUU BARA: YANGA 1-0 COASTAL UNION

FT: LIGI Kuu Bara Mzunguko wa pili, Uwanja wa Azam Complex Yanga 1-0 Coastal Union. Joseph Guede Goal dakika ya 76. Mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Azam Complex ni kipindi cha pili ambapo timu zote mbili zinapambana kusaka ushindi. Dakika 45 za mwanzo timu zote mbili zimekwenda kwenye vyumba vya kubadilishia nguo wakiwa…

Read More

SIMBA KAMILI KWA FAINALI MUUNGANO

BENCHI la ufundi la Simba limeweka wazi kuwa lipo tayari kwa mchezo wa fainali dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Aprili 27 2024 Uwanja wa New Amaan Complex. Simba imetinga hatua ya fainali ya Muungano kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KVZ inatarajiwa kukutana na Azam FC ambayo ilipata ushindi wa mabao 5-2 dhidi…

Read More

YANGA WANA NJAA KALI KWELIKWELI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wana njaa ya kupata alama tatu baada ya kupishana nazo kwenye mchezo uliopita wa Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba Aprili 24 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Meja Isamuhyo ulisoma JKT Tanzania 0-0 Yanga wote wakagawana pointi mojamoja. Pointi hiyo inawafanya Yanga kufikisha…

Read More

Cheza Shindano la Expanse na Upate Donge Nono la Pesa

Kwakuwa Wikiendi imeanza hutakiwi kabisa kukosa pesa kwaajili ya matumizi mbalimbali, kipindi hiki cha mvua kubwa unapokuwa umechili mtaani kwako na washikaji zako, mfukoni hakikisha una kibunda cha kutosha, ukiwa na Meridianbet Kasino ya Mtandaoni Maokoto yamerahisishwa, kwa kushiriki kwenye shindano la Expanse. Jisajili Meridianbet Ushinde.   Expanse Studio ni mtoa huduma bora wa michezo…

Read More

FUNGAFUNGA MICHEL FRED AWAIBUA SIMBA

MWAMBA Michel Fred ambaye Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba anapenda kumuita fungafunga ameweka wazi kuwa mashabiki waendelee kuwa na mshikamano mambo mazuri yanakuja. Timu hiyo imetinga hatua ya fainali Kombe la Muungano 2024 kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KVZ inatarajiwa kumenyana na Azam FC Aprili 27 katika mchezo…

Read More

YANGA WANAUTAKA UBINGWA WAO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa mipango yao ipo palepale kupambana kufikia malengo ya kutwaa ubingwa kwa kuwa hilo ni jambo ambalo walianza nalo kazi mapema mwanzo wa msimu. Chini ya Miguel Gamondi, Yanga imekuwa ikipata matokeo kwenye mechi zake za ushindani huku safu ya ushambuliaji ikiwa inaongozwa na kiungo mshambuliaji Aziz KI mwenye mabao…

Read More

LIGI KUU BARA KIVUMBI KINGINE LEO

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili kwa msimu wa 2023/24. Aprili 26 ikiwa ni kumbukizi ya miaka 6 ya Muungano mchezo mmoja unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Dodoma Jiji ambao ni wenyeji watawakaribisha KMC kwenye mchezo huo wa mzunguko wa pili kusaka pointi tatu muhimu. Dodoma Jiji kwenye msimamo wa…

Read More