
AUBAMEYANG HUYO BARCELONA BURE
ARSENAL imekubali kumuacha nyota wake Pierre Aubameyang ajiunge na Barcelona bure ili aweze kupata changamoto mpya wakati mwingine akisepa ndani ya Ligi Kuu England. Auba mwenye miaka 32 anaondoka ndani ya kikosi hicho ikiwa ni muda mfupi baada ya kuvuliwa kitambaa cha unahodha. Mshambuliaji huyo hakuweza kucheza katika timu hiyo tangu Desemba 6 2021. Anasepa…