
AZAM FCHESABU ZAKE ZIPO NAMNA HII
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa malengo yao makubwa msimu huu ni kuhakikisha wanashinda michezo mingi kadiri inavyowezekana ili kujiweka kwenye nafasi nzuri katika msimamo na kukata tiketi ya kucheza mashindano ya kimataifa msimu ujao. Azam ambayo ipo chini ya kocha Abdi Hamid Moallin, ipo nafasi ya tatu na pointi zake ni 24 kibindoni….