
VIDEO:BAADA YA USHINDI MBELE YA DODOMA,SIMBA KUMPA NGAMIA SAKHO
MZARAMO shabiki wa Simba ameweka wazi kwamba watampa zawadi kiungo Pape Skho tena ngamia huku akimwaga tambo baada ya timu hiyo kushinda mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji, Uwanja wa Mkapa.