
MAYELE ATAJWA KUINGIA RADA ZA KAIZER CHIEFS
IMEELEZWA kuwa Klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini inataka kumsajili mshambuliaji wa Klabu ya Yanga, Fiston Mayele (27) ili akawe mbadala wa mshambuliaji wao, Sebia Samir Nurković (29) ambaye huenda akaondoka mwishoni mwa msimu huu. Mayele amekuwa na kiwango bora ndani ya kikosi cha Yanga ambapo mpaka sasa amefunga jumla ya mabao 10 na…