
SAIDO AWASHUKURU NBC KWA TUZO
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ ameishukuru Benki ya NBC kwa kutoa motisha kwa wachezaji, huku akiamini hiyo inasaidia kujituma zaidi uwanjani. Saido aliyasema hayo baada ya hivi karibuni kupokea tuzo yake ya Mchezaji Bora wa mwezi Februari wa Ligi Kuu Bara msimu huu sambamba na shilingi milioni moja kutoka kwa wadhamini wa…