SAUTI:AZAM HAINA MPANGO WA KUISHUSHA BIASHARA ILA INATAKA POINTI
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kwamba unahitaji pointi tatu za Biashara United ila hauna mpango wa kuishusha timu hiyo kwa kuwa wanajua kwamba hilo ni jambo baya na wanaamini kuwa timu hiyo ina mipango pia. Mchezo wa kesho ambao ni wa ligi,chaguo la Biashara United ni moja kuweza kushinda ili kutafuta nafasi ya kubaki…