MABAO SITA YAKUSANYWA KWENYE MECHI TATU
MABAO 6 yalikusanywa kwenye mechi tatu za Ligi Kuu Bara zilizochezwa Oktoba 4,2022 katika msimu wa 2022/23. Mchezo uliokusanya mabao mengi ulikuwa ni ule Ruvu Shooting 1-2 Yanga ikiwa ni mabao matatu kwenye mchezo mmoja. Watupiaji kwenye mchezo huo ni Feisal Salim dakika ya 52 na Bakari Mwamnyeto dakika ya 71 lile la Ruvu Shooting…
NABI KUIKABILI COASTAL UNION, AKIRI KUTUMIA NGUVU KWA POLISI
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema walitumia nguvu nyingi kwenye msako wa pointi tatu mbele ya Polisi Tanzania hivyo wanajipanga kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Coastal Union. Mchezo huo unatarajiwa kuwa ni wa pili kwa Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa ligi utachezwa kesho Agosti 20, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Coastal…
KAZI YA JOB MBELE YA COASTAL UNION ILIKUWA PEVU
DICKSON Job beki wa Yanga ni mtu wa kazi ambapo kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Coastal Union wakati Yanga wakitangazwa kuwa mabingwa aliweza kuwa kwenye ubora. Jumla alipiga pasi 80 na katika pasi hizo alizotoa ni moja pekee iliweza kupotea kwa kutofika mahali ambapo alikuwa anahitaji ifike. Katika pasi hizo mguu ambao anapenda kuutumia…
SAUTI:SIMBA YAMVUTIA KASI MCAMEROON ILI KUINASA SAINI YAKE
IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye hesabu za kuinasa saini ya mshambuliaji raia wa Cameroon ambaye yupo kwenye hesabu za kutua ndani ya Simba msimu ujao kutokana na safu yao ya ushambuliaji inayoongozwa na Meddie Kagere, John Bocco na Chris Mugalu kushindwa kuwa kwenye ubora.
EPL, LA LIGA NA SERIE A KUENDELEA LEO WIKIENDI HII. DABI YA MANCHESTER KUNOGESHA WIKIENDI
Ni wikiendi ya kibabe katika kuuanza mwezi wa 3 mwaka huu wa 2022. Ni mwendo wa ‘Big Match’ kunako EPL na Serie A. Mbio za Top 4 vs vita ya kuwania Scudetto, Meridianbet mambo ni moto!!! Alaves vs Sevilla kufungua duru ya burudani wikiendi hii. Huu ni msimu ambao Sevilla wanaonesha nia thabiti ya kuwania…
VIDEO:RAIS WA YANGA AWATAJA MABINGWA NDONDO CUP
INJINIA Hersi Said, Rais wa Yanga amebainisha kuwa mabingwa wa Ndondo Cup wanatokea kwenye mitaa inayojulikana na watafanya kazi kuweza kutengeneza muunganiko
TULIENI WINGA MUIVORY COAST MLANGONI SIMBA, NABI AWAJAZA UPEPO MASTA
TULIENI sasa winga Muivory Coast mlangoni Simba SC, Nabi awajaza upepo mastaa Yanga ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
VIDEO:MZARAMO ATEMA CHECHE,ATAJA MABAO YA MAYELE YA MCHONGO
MZARAMO Simba atema cheche, ayazungumzia mabao ya Mayele
SIMBA KAMILI KUIKABILI HOROYA KIMATAIFA
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utapambana kupata matokeo kwenye mchezo wao dhidi ya Horoya ambayo ni wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo huo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Jumamosi hii ya Februari 11, 2023 nchini Guinea. Tayari kikosi cha Simba mapema alfajiri ya leo kilikwea pipa kuwafuata wapinzani wao kikiwa na wachezaji wake…
VIDEO:SIMBA YATAMBA KUTINGA ROBO FAINALI USIKU
MENEJA wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa watoto wakilala wakiamka watawakuta wapo hatua ya robo fainali, Kombe la Shirikisho. Simba Jumapili itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya USGN mchezo unaotarajiwa kuchezwa saa 4:00 usiku.
MALI NDO BASI TENA AFCON
LICHA ya kuanza kutangulia kufunga bado hawajatusua kutinga hatua ya nusu fainali hivyo Mali kwa 2023 kutwaa taji hilo ndo basi tena mpaka wakati ujao. Mali ilipoteza kwenye mchezo wa robo fainali dhidi ya timu ya taifa ya Ivory Coast ambayo imetinga hatua ya nusu fainali Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2023) baada ya…
NABI:TUTAWAFURAHISHA MWAKA HUU ZAIDI
NASREDDINE Nabi,Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kwa mwaka mpya wa 2022 watazidi kuwafurahisha zaidi mashabiki kwa kupata matokeo mazuri pamoja na kucheza soka safi. Yanga imecheza mechi 11 bila kupoteza mchezo hata mmoja na kibindoni ina pointi 29 ikiwa ipo namba moja kwenye msimamo. Ni ushindi wa mabao 4-0 walipata jana Desemba 31 kwenye…
AZAM FC NA COASTAL UNION ZAPIGANA MKWARA
KUELEKEA kwenye mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii kati ya matajiri wa Dar, Azam FC dhidi ya Wagosi wa Kaya, kutoka Tanga, Coastal Union maofisa habari wa timu zote mbili wamepigana mikwarakwa kubainisha kuwa wote wanahitaji ushindi. Kwenye mchezo wa leo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar mshindi atakutana na Yanga…
RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO DESEMBA 17
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea kwa sasa ambapo leo Desemba 17 kuna mechi ambazo zitachezwa. Geita Gold itashuka Uwanja wa Nyankumbu kusaka pointi tatu mbele ya Ruvu Shooting. Mbeya Kwanza itakuwa na kibarua Uwanja wa Sokoine dhidi ya Namungo FC. Dodoma Jiji v Polisi Tanzania, Uwanja wa Jamhuri,Dodoma.
SIMBA YAANZA KWA USHINDI LIGI KUU BARA
SIMBA imeeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tabora United kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa KMC, Mwenge. Huu ni mchezo wa kwanza kwa timu zote mbili ambapo Tabora United waliingia uwanjani kwa hesabu za kujilinda zaidi huku wakifaya mashambulizi kwa kushtukiza mbele ya Simba. Mabao yamefungwa na Che Malone dakika…