SIMBA YAPIGA HESABU ZA ROBO FAINALI

KUELEKEA mchezo wao wa mwisho wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USGN, Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco, ameweka wazi kuwa watafanya kila kinachowezekana kushinda mchezo huo, ili kutinga hatua ya robo fainali. Aprili 3, mwaka huu, Simba iliyo nafasi ya tatu katika msimamo wa Kundi D, wanatarajia kuwa wenyeji wa USGN…

Read More

HUU HAPA MTAMBO WA MABAO BONGO

UWEZO wake uliojificha kwenye miguu yake unarekodi ya kubadili upepo hata akianzia benchi huwa anakuwa bora,alifanya hivyo mara mbili mbele ya Geita Gold na Simba na mechi zote hizi aliweza kutoa pasi za mabao. Ni Tepsi Evance kiungo mshambuliaji wa Azam FC ambaye ni mzawa mwenye pasi nyingi za mwisho ambazo ni 4 na amekuwa…

Read More

SIMBA YAFUNGUKIA USAJILI WA KI AZIZ

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kwamba suala la mchezaji wa ASEC Mimosas Aziz KI kuweza kusajiliwa na timu hiyo litafanyiwa kazi ikiwa kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo. Imekuwa ikitajwa kwamba mshambuliaji huyo ambaye aliweza kumtungua kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula nje ndani yupo kwenye rada za mabingwa hao watetezi. Pia habari zilikuwa…

Read More

BUKAYO SAKA ANDOLEWA KAMBI YA TIMU YA TAIFA

BUKAYO Saka ameondolewa katika kikosi cha timu ya Taifa ya England baada ya kukutwa na maambukizi ya Corona. Saka nyota wa Arsenal alifanya mazoezi na wachezaji wa Timu ya Taifa ya England Jumanne lakini kwa sasa ametengwa St. George Park tangu Jumatano na kwa sasa amerejea nyumbani. Saka alitweet kuwa ameondolewa katika kikosi cha timu…

Read More

MABOSI WAJITOKEZA KUINUNUA CHELSEA

IMERIPOTIWA kuwa familia ya Ricketts ipo kwenye orodha ya wale ambao wanahitaji kuinunua Klabu ya Chelsea inayomiliki Uwanja wa Stamford Bridge. Pia wengine ni pamoja na Mwenyekiti wa zamani wa Liverpool Martin Broughton. Kwa mara ya kwanza ililipotiwa na Sky News siku ya Alhamisi huku Boston Celtics na mmiliki wa kampuni ya Atalanta Stephen Pagliuca…

Read More

WALIOPEWA NAFASI TAIFA STARS WAFANYE KWELI

MAZINGIRA ambayo yapo kwa sasa kwa wachezaji walioitwa kwenye timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ni rafiki kwao kufanya kazi kwelikweli ili kuweza kupata ushindi. Hizi mechi ambazo zipo kwenye kalenda ya FIFA ni muhimu kwa wachezaji kuzipa uzito mkubwa na kufanya vizuri ili kupata matokeo. Ukiangalia namna ambavyo wachezaji wanapata nafasi kikosi cha…

Read More

AUCHO KAMILI KUIVAA AZAM FC

UONGOZI wa Yanga, umethibitisha kuwa, kiungo wa timu hiyo, Khalid Aucho, yupo fiti kwa asilimia 100, ambapo ameruhusiwa kujiunga na Timu ya Taifa ya Uganda, huku Yanga wakitumia hiyo kama sehemu ya kumuandaa kuivaa Azam FC. Aucho ni miongoni mwa mastaa ambao wamejumuishwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Uganda kwa ajili ya mechi…

Read More

KOCHA STARS:TUNA TIMU NZURI

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars, Kim Poulsen, amesema kuwa Watanzania wanatakiwa kuelewa kuwa wana timu bora sana ya taifa kwa sasa na wanatakiwa kuwa na imani nayo na kutoa sapoti kubwa. Kim ameyasema hayo baada ya Stars kuibuka na ushindi mbele ya Afrika ya Kati wa mabao 3-1 kwenye mchezo wa…

Read More

YANGA KILA KONA WAMEIBANA SIMBA

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wamewabana kotekote mabingwa watetezi wa ligi na Kombe la Shirikisho, Simba kwa kuwa wazi kwamba wanahitaji kushinda kila sehemu. Kwenye Kombe la Shirikisho, Yanga imetinga hatua ya robo fainali na inatarajiwa kumenyana na Geita Gold na kwenye ligi, Yanga ni namba moja ikiwa na pointi 48 baada ya…

Read More

KOCHA ITALIA HAJAFURAHISHWA NA MATOKEO MABAYA

ROBERTO Mancini, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Italia amesema kuwa hajafurahishwa  na kutolewa katika hatua hiyo. Usiku wa kuamikia leo Timu ya Taifa ya Italia ilifungwa bao 1-0 dhidi ya North Macedonia. Bao pekee la ushindi lilipachikwa kimiani na Aleksandar Trajkovski dk 90+2 Uwanja wa Renzo Barbera. Sasa North Macedonia itacheza mchezo dhidi…

Read More