YANGA YAWAPIGIA HESABU WAARABU KWA MKAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga wameweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kupata matokeo kwenye mchezo wao dhidi ya MC Alger unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Yanga imetoka kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al Hilal ikiandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza kupata ushindi kwa Al Hilal ambao ni vinara…

Read More

CHE MALONE AWAOMBA RADHI MASHABIKI WA SIMBA

Beki wa kimataifa kupitia ukurasa wake wa Instagram leo Januari 14, 2025 amewaomba radhi mashabiki wa Simba na wadau wa soka kutokana na makosa aliyoyafanya likiwemo lililoigharimu Simba Januari 13, 2025 nchini Angola dhidi ya Bravos. Kwenye mchezo huo, Simba ilipata sare ya 1-1 na kuipa nafasi ya kufuzu hatua ya robo fainali. Malone ameandika:…

Read More

YANGA WATUMA UJUMBE HUU KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema kuwa lazima waonyeshe ukuaji wao kwa kuongeza umakini kwenye mchezo dhidi ya Al Hilal ambao ni wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga inasaka pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika imekusanya pointi nne kwenye makundi ikiwa nafasi ya tatu inakutana na vinara Al Hilal wenye pointi…

Read More

YANGA KAMILI KIMATAIFA KUIKABLI AL HILAL

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa watafanya kazi kubwa kupata matokeo dhidi ya Al Hilal kutokana na ugumu uliopo kwenye hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic tayari imeshatia timu nchini Mauritania kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Januri 12 2025….

Read More