
MSHAMBULIAJI MANZOKI MIKONONI MWA MABOSI YANGA
INAELEZWA mabosi wa Yanga wanamfuatilia kwa karibu mshambuliaji hatari wa Vipers ya Uganda, Cesar Manzoki, kwa lengo la kuongeza nguvu katika eneo la ushambuliaji kwa ajili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Mshambuliaji huyo mwenye asili ya DR Congo lakini kwa sasa ana uraia wa Afrika ya Kati, amekuwa gumzo katika Ligi…