
WACHEZAJI MUHIMU KULINDANA LALA SALAMA HII
LALA salama huwa inakuwa na mambo mengi hasa kwa wachezaji kupambana kuweza kufikia malengo yao ambayo walikuwa wamejiwekea tangu mwanzo wa msimu. Hapa unaona wazi kwamba sio kwenye Ligi Kuu Bara pekee bali hata kwenye Ligi ya Wanawake na Championship huku mambo yanazidi kuwa ni moto. Hata kwenye Ligi ya Soka la Ufukweni pia mambo…